• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Sasa fursa za uwekezaji zipo Dodoma - Kunambi

Imewekwa tarehe: June 29th, 2019

WAWEKEZAJI wa ndani na nje wametakiwa kujipanga kuwekeza katika Halmashauri ya jiji la Dodoma kutokana na fursa nyingi zilizopo baada ya jiji kuwa makao makuu ya nchi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alipoongoza timu ya wawekezaji wa ndani na nje ya nchi walioshiriki kongamano la uwekezaji lililofanyika jijini hapa kwa siku mbili kutembelea fursa za uwekezaji katika mji wa serikali jana.

Kunambi alisema kuwa kutokana na uamuzi wa Rais Dkt John Magufuli kuhamishia serikali katika Halmashauri ya jiji la Dodoma, uamuzi huo umefungua fursa nyingi za uwekezaji. “Sisi Halmashauri ya jiji la Dodoma, tunamshukuru sana Rais, Mheshimiwa Dkt John Magufuli, uamuzi wake wa kihistoria kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi umefungua fursa nyingi za uwekezaji na biashara katika jiji hili. Hivyo, natoa wito kwa wawekezaji wote wa ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza katika jiji la Dodoma. Tunataka muwekezaji mwenye fedha akija anapewa eneo anaanza ujenzi, hatutaki kuchelewa” alisema Kunambi.

Vilevile, aliwataka watumishi wa umma kufanya uamuzi wa kujenga nyumba za makazi katika jiji hilo mapema. “Nitoe rai kwa watumishi wenzangu wa umma, baada ya serikali kuhamia Dodoma, watumishi wengi wamehamia Dodoma. Chukueni viwanja muanze kujenga makazi sasa. Kama hujajenga Dodoma, njoo ujenge sasa. Dodoma ndiyo habari ya mjini” alisisitiza Kunambi.

Akiongelea umuhimu wa utunzaji wa mazingira, Mkurugenzi huyo alisema kuwa, ongezeko la watu linaenda sambamba na ongezeko la joto kutokana na changamoto ya uharibifu wa mazingira. Halmashauri ya Jiji imejipanga katika kuhamasisha upandaji miti katika maeneo yote ili jiji lipate sehemu ya kupumulia, aliongeza. “Kila eneo tunalopima na kutenga eneo la wazi, wananchi wenyewe watapanda miti na kuihudumia ili kulifanya jiji letu kuwa rafiki kwa mazingira bora.

Kongamano la Uwekezaji la Mkoa wa Dodoma limefanyika kwa siku mbili katika Halmashauri ya jiji la Dodoma likihudhuriwa na wawekezaji wa ndani na nje ya nchi waliopata fursa ya kujadili fursa za uwekezaji na kutembelea maeneo mbalimbali yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji na miradi mikubwa ya uwekezaji.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.