• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Sekta ya Michezo yaguswa Bajeti 2025/2026 Halmashauri ya Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: February 2nd, 2025

Na. Mussa Richard, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepanga kujenga viwanja vya michezo ikiwemo uwanja wa mpira wa miguu uliopo katika mchakato wa ujenzi, kuelekea michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 ambapo kwa pamoja nchi za Afrika Mashariki Tanzania, Kenya na Uganda zitakuwa wenyeji wa michuano hiyo.

Mpango huo umewekwa wazi na Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Francis Kaunda kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Dkt.  Frederick Sagamiko, wakati akiwasilisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 katika Baraza Maalum la Madiwani, lililofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Kwa upande wake Daudi Fundikira, Diwani wa Kata ya Chang'ombe baada ya kupitishwa kwa Bajeti hiyo alisema "Tumepanga kujenga viwanja vya michezo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambavyo vitakua ni sehemu ya kuongeza mapato kwa jiji letu la Dodoma, lakini pia ni fursa kwa vijana wetu kufanya mazoezi na kuweza kuonekana, kwani michezo ni ajira na michezo ni burudani”

Aidha, Diwani wa Kata ya Chamwino, Jumanne Ngede, alielezea faida za ujenzi wa viwanja hivyo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kwa jamii kiujumla. "Kwanza nimpongeze sana Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Dkt. Frederick Sagamiko na timu yake kwa mpango huu mzuri wa ujenzi wa viwanja, kwasababu faida zake si kwa Halmashauri tu kuingiza kipato, bali hata kwa wananchi, mfano wafanyabiashara wadogo wataweza kufanya biashara zao na kupata wateja zaidi kutokana na muingiliano wa watu utakao kuwa unafanyika viwanjani". Alisema Ngede.

Kwa mujibu wa wasilisho la Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Francis Kaunda alisema Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026, Halmashauri ya Jiji la Dodoma ni shilingi 147,910,202,949.46, ikipanga kukusanya mapato ya ndani kiasi cha shilingi 67,385,000,000.00, ruzuku za mishahara ikiwa ni shilingi 65,739,308,000.00 ruzuku ya matumizi mengine ikiwa ni shilingi 3,071,349,000,00 na ruzuku ya miradi ya maendeleo ikiwa ni shilingi 11,714,545,949.46. Bajeti hiyo ikiongezeka kwa asilimia 7.04 kulinganisha na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024/2025.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.