• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Senyamule apigilia Msumari matumizi ya Nishati safi ya kupikia

Imewekwa tarehe: March 10th, 2025

Na. Mussa Richard, DODOMA

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, ametoa wito kwa wananchi jijini Dodoma kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira na kulinda afya za wananchi kutokana na madhara ya matumizi ya nishati chafu ya kupikia.

 Senyamule alisema hayo wakati wa mkutano wa hadhara katika Kata ya Nzuguni, baada ya kufanya ziara na kukagua miradi mbalimbali ya maendelea katika kata hiyo.

“Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameshaelekeza kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia nyumbani na katika sehemu za mikusanyiko, kwahiyo kama huwezi kununua mtungi wa gesi ni bora zaidi ukatumia nishati mbadala kama makaa ya mawe na kuni poa, kwasababu upatikanaji wake na gharama zake ni nafuu na rafiki kwa kila mmoja wetu kuweza kuzimudu, hilo litasaidia kuondokana na madhara ya kiafya yatokanayo na matumizi ya nishati chafu za kupikia, lakini pia itasaidia kutunza mazingira ya jiji letu na kuondokana na uhalibifu kama ukataji wa mkaa” alisema Senyamule.

 Nae Jabir Shekimweri, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma akazitaka taasisi zote kwa pamoja kutumia ipasavyo nishati safi ya kupikia ili kuondoa madhara ya uharibifu wa mazingira katika Jiji la Dodoma na kuwa mfano kwa taasisi za mikoa mingine kuiga na hatimaye kuwa na Tanzania inayotunza mazingira kwa vitendo.

 “Katika masuala ambayo serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan imevipa kipaumbele ni sekta ya nishati safi ya kupikia, kwasababu serikali imeona uharibifu na madhara makubwa ambayo yanasababishwa na matumizi ya nishati chafu ya kupikia, na mwisho wa kampeni hii ya kuhakikisha wananchi kote nchini wanatumia nishati safi ya kupikia ilikua mwisho mwezi Desemba mwaka jana, na nikatoa tamko kuwa hatutarajii tena kukuta sehemu yenye mkusanyiko wa watu zaidi ya 100 bado wanatumia nishati chafu ya kupikia kama, mkaa na kuni” alisema Shekimweri.

 Ziara hiyo ilihitimishwa kwa mkutano wa hadhara kati ya Mkuu wa mkoa na wanachi wa Kata ya Nzuguni, uliofanyika uwanja wa ofisi ya Kata ya Nzuguni ambapo alisikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi.

 





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.