• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Sera ya Ugatuaji madaraka ipo katika hatua za mwisho- Waziri Kairuki

Imewekwa tarehe: April 7th, 2023

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Angellah Kairuki amesema, Serikali imendaa Sera ya Ugatuaji wa Madaraka (D by D) ambayo iko katika hatua ya mwisho ya mapitio inayotarajiwa kukamilika hivi karibuni.

Kairuki ameyasema hayo Jijini Dodoma wakati akimkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa katika Mkutano Mkuu wa 13 wa Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA).

"Mheshimiwa Waziri Mkuu, kuhusu Ruzuku ya Maendeleo ya Serikali za Mitaa (LGDG), ulikuwa ni mfumo muhimu kwa ajili ya kupeleka fedha za maendeleo kwenye Mamlaka za Serikali Mitaa (MSM) Tanzania Bara, kama nyenzo ya utekelezaji wa ugatuaji wa madaraka sehemu ya fedha,"amefafanua Kairuki.

Pia amesema, tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004/2005, mfumo huo ulichangia kwa kiasi kikubwa kuboresha utendaji kazi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Aidha, ulileta msukumo kwenye maeneo ya utendaji waMajukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ikiwemo mipango, bajeti, usimamizi wa fedha pamoja na sekta nyingine kama Afya, Elimu, Maji na Kilimo.

"Mfumo wa LGDG ulikuwa mfano wa kuigwa kwa ufadhili wa uwekezaji wa ndani kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Aidha, kulikuwa na ongezeko la upatikanaji wa rasilimali fedha za maendeleo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa na ndiyo ruzuku iliyowezesha kukamilisha maboma yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi.

"Ndiyo ruzuku iliyotumika kuendesha ofisi na kujenga uwezo wa watendaji katika ngazi za kata,vijiji na mitaa na ndiyo fedha zilizotumika katika ufuatiliaji wa miradi kwa uhakika na kutekeleza miradi iliyoibuliwa na jamii,"alibainisha Kairuki.

Kairuki alisema, Mfumo wa LGDG ulihuishwa mwaka 2015/2016 na ulipaswa kuanza mwaka 2016/2017

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.