• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali inaweka mazingira wezeshi, wananchi kujiletea maendeleo

Imewekwa tarehe: October 11th, 2021

Na. Dennis Gondwe,

Serikali imeamua kutoa chanjo ya ugonjwa wa virusi vya Korona (UVIKO-19) kwa wananchi wake kwa lengo la kupunguza madhara na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo nchini ili wananchi hao waweze kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo.

Kauli hiyo ilitolewa na Afisa Muuguzi Mwandamizi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Lorner Mziray (pichani) alipokuwa akiongea na wananchi wa Mtaa wa Nzasa katika Kata ya Chihanga jijini hapa leo.

Mziray alisema kuwa serikali imeruhusu chanjo ya UVIKO-19 itumike nchini kwa lengo la kuwahakikishia uhai wananchi wake dhidi ya ugonjwa huo. “Baada ya serikali kujiridhisha na usalama wa chanjo ya UVIKO-19, ikaruhusu chanjo hiyo itumike nchini ili kupunguza vifo vilivyokuwa vikitokea kutokana na ugonjwa huo. Hivyo, chanjo hii ni muhimu na salama kwa wananchi. Chanjo hii itatusaidia kuwa salama na kuendelea kutekeleza majukumu yetu ya kujiletea maendeleo kwa sababu inapunguza madhara makubwa yatokanayo na UVIKO-19, na vifo” alisema Mziray.

Akiongelea madhara ya UVIKO-19, aliyataja kuwa ni mapafu kupoteza uwezo wa kufanya kazi kama kawaida. Madhara mengine ni vifo, jambo linalopunguza nguvu kazi ya familia na taifa kwa ujumla. “Watoto kupoteza wazazi wao na kuishia kuwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na kupoteza ndoto zao za elimu na maisha bora” alisema Afisa Muuguzi Mwandamizi huyo.

Alisema kuwa chanjo hiyo ni muhimu sana kipindi hiki ambapo ugonjwa huo hauna tiba. “Serikali inapenda wananchi wote wenye umri wa kuanzia miaka 18 waweze kupata chanjo ya UVIKO -19. Chanjo hiyo ni silaha kwa kuwapunguzia wananchi madhara makubwa yatokanayo na ugonjwa huo. Msisitizo mkubwa kwa serikali ni makundi maalum ya wazee, watu wenye magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu, figo, na virusi vya Ukimwi kuchanja. Bahati nzuri chanjo hii inatolewa bila malipo na kwa hiari” alisema Mziray.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.