• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali kujenga uwanja mkubwa Dodoma - Rais Magufuli

Imewekwa tarehe: November 6th, 2020

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli jana tarehe 05 Novemba 2020 ameapishwa kuanza muhula wa pili wa uongozi wa awamu ya tano katika sherehe iliyofanyika uwanja wa Jamhuri hapa Jijini.

Akizungumza na Wananchi pamoja na wageni mbalimbali mara baada ya kuapishwa Dkt. Magufuli pamoja na mambo mengine alishukuru na kuipongeza kamati ya maandalizi.

"...naishukuru na kuipongeza Kamati ya maandalizi kwa matayarisho mazuri kwa hakika sherehe imefana sana, kwa sababu watu wamejaa ndani ya uwanja lakini wamejaa pia nje ya uwanja, hii inanipa changamoto Serikali itakayoanza leo (jana), kwamba kitu cha kwanza tutaanza kujenga uwanja mkubwa sana hapa Dodoma. Ili sherehe zingine zitakapokuja watu wote wa Dodoma waweze kuwa ndani ya uwanja na washerehekee vizuri.

Navishukuru sana vyombo vya habari, kwa kufanya kazi kwa weredi na uzalendo mkubwa tangu kuanza kwa kampeni mpaka leo tunapokamilisha shughuli za uchaguzi, asanteni na hongereni sana wana habari kwa kazi kubwa mliyofanya" alisema Dkt. Magufuli.

Nao baadhi ya wananchi waliohojiwa na tovuti hii kuhusiana na kauli ya Rais Dkt. Magufuli kuhusu ujenzi wa uwanja, wengi wameipokea kwa furaha na matumaini makubwa hasa baada ya kuona utekelezaji wa miradi na miundombinu mbalimbali katika muhula wa kwanza wa  Serikali ya awamu ya tano.

"Tangu Dodoma imepandishwa hadhi kuwa Jiji imekua na kuongezeka sana katika awamu hii ya tano, ongezeko la watu lililotokana na ujio wa Serikali kuhamia Dodoma, kuongezeka kwa shughuli za kitaifa na kimataifa na hata Jiji la Dodoma kuwa na timu mbili zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara yaani timu za Dodoma Jiji FC inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma na timu ya JKT Tanzania, imesababisha kuwe na uhitaji wa uwanja mkubwa, na kwa kweli tunamshukuru sana Mheshimiwa Rais kuliona hilo". Alisema John Lugendo mkazi wa eneo la Nkuhungu hapa jijini.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.