• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali kulifanya Jiji la Dodoma la kisasa

Imewekwa tarehe: September 15th, 2021

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewathibitishia wakazi wa Dodoma kuwa dhamira ya serikali kulifanya Jiji la Dodoma kuwa la kisasa ipo palepale kwa kuboresha miundombinu na huduma za kijamii.

Rais Samia alitoa hakikisho hilo kwa wakazi wa Dodoma alipokuwa akiwahutumia maelfu yao waliojitekeza katika hafla ya uzinduzi wa mkakati wa uelimishaji na uhamasishaji wa Sensa ya watu na makazi mwaka 2022 katika uwanja wa Jamhuri jijini hapa.

Rais Samia alisema “waheshimiwa viongozi na ndugu wananchi, kwa kuwa nipo hapa Dodoma, siwezi kuhitimisha hotuba yangu bila kusema machache kuhusiana na mipango ya serikali kwenye jiji hili. Kwanza kabisa nataka niwathibitishie kuwa adhima na dhamira ya serikali kuifanya Dodoma kuwa Jiji la kisasa ipo palepale. Hivi majuzi mlishuhudia Waziri Mkuu alikwenda kukagua ujenzi wa Ikulu mpya ambapo umefikia asilimia 75”.

Akiongelea ujenzi wa miundombinu ya barabara, alisema inaendelea vizuri. “Kuhusu ujenzi wa miundombinu, kama mnavyofahamu tayari tumesaini ujenzi wa barabara ya mzunguko ya njia nne.  Ujenzi umechelewa kuanza kidogo kwa sababu ya matatizo ya fidia. Hata hivyo, changamoto hiyo tunakaribia kuimaliza na muda si mrefu ujenzi wa barabara hiyo utaanza” alisema Rais Samia kwa uhakika.

Rais aliipongeza kamati ya maandalizi kwa kukamilisha mkakati wa uelimishaji na uhamasishaji wa Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 mapema. “Nimeupitia mkakati huu, nami nimeridhika nao. Niwashukuru wale wote waliosaidia kwenye mkakati huu. lakini watakaosaidia mpaka tutakapofikia kufanya Sensa mwaka 2022. Jukumu letu ni kwenda kuutekeleza mkakati huu” alisema Rais Samia akionesha matumaini makubwa.

Sensa ya watu na makazi mwaka 2022 inaongozwa na kaulimbiu isemayo “Sensa kwa maendeleo, Jiandae kuhesabiwa”.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.