• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali kutanua wigo wa huduma kwa waathirika wa madawa ya kulevya

Imewekwa tarehe: March 8th, 2020

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.

Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya Methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia waathirika wa madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya walipofanya ziara ya ukaguzi wa huduma katika Kituo hicho wiki iliyopita.

“Kumekuwa na msongamano mkubwa katika maeneo yanayotoa huduma za Methadone kwenye Jiji la Dar Es Salaam ambapo kwa sasa kwenye kliniki zote tatu idadi ya wagonja imeongezeka maradufu” anabainisha Dkt. Mndeme

Amesema kuwa hali hiyo imechagiza waratibu wa huduma hizo katika ngazi ya Taifa kufikiria mbinu mbadala ya kuboresha huduma hizo nchini.

“Mojawapo ya mbinu zilizokubalika katika kukabiliana na changamoto hii ni uanzishwaji wa satellite kliniki nne kwenye ngazi ya Halmashauri na kituo kimoja kwenye gereza la Seregea ifikapo 2020” amesema Dkt. Mndeme.

Dkt. Mndeme amesema kuwa mkakati wa uanzishwaji wa Satellite kliniki unalenga kupunguza msongamano kwenye kliniki na kutoa mwanya kwa watoa huduma kuwa na muda zaidi wa kuwaona wagonjwa na kuwapa huduma stahiki.

Amesema kuwa kupeleka huduma kwenye Halmashauri itasaida waathirika kupata huduma karibu na makazi yao.

Hata hivyo Dkt. Mndeme amesema kuwa Serikali imeandaa mkakati wa awamu ya pili ya upatikanaji wa huduma za kutoa dawa kwa waathirika “Methadone” kwa mwaka 2019-2020 huku huduma zikisogezwa kwenye mikoa ya Tanga, Pwani, Morogoro, Dodoma, Arusha na Kilimanjaro huku huduma zikiwa zimeanza kutolewa kwenye mikoa ya Dodoma na Pwani.

Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Kuduma ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa ameonyesha kufurahishwa na mkakati huo ambao utasaidia upatikanaji wa huduma kwa waraibu wa madawa ya kulevya na kuwataka wataalam kuongeza nguvu katika mapambano ya madwa ya kulevya na magonjwa ya kuambukiza baina ya waathirika wa madawa ya kulevya yakiwemo maambukizi ya Virusi vya Ukimwi na ugonjwa wa kifua kikuuna na homa ya ini miongoni mwa waathirika wa madawa ya kulevya.

Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hawapo pichani)

Chanzo: afyablog.moh.go.tz

Habari zaidi: Serikali kuendelea kuboresha huduma za Methadone nchini

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.