• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali kutekeleza mpango wa kudhibiti tatizo la watoto wa mtaani

Imewekwa tarehe: April 11th, 2023

SERIKALI kwa kushirikiana na wadau itajielekeza kutekeleza mpango wa kudhibiti tatizo la watoto kukimbilia mtaani kwa kufanyia kazi sababu zinazowafanya kufika mitaani badala ya kusubiri waingie mitaani na kuanza kuwakusanya ili kuwalea katika Makao ya watoto.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameyasema hayo alipojumuika kula chakula cha Sikukuu ya Pasaka na baadhi ya watoto wanaotunzwa katika Makao ya kulelea watoto Kurasini na SOS Village, Dar es salaam.

Amesema lengo ni kushughulikia changamoto zinazowafanya watoto kushindwa kupata malezi ikiwemo migogoro ya familia na mazingira yoyote hatarishi.

"Hata hivyo, tunahitaji kupata taarifa za mlikotokea na historia ya maisha yenu kwani tunahitaji kuzuia watoto kukimbilia mitaani na serikali ndiyo ianze kuwachukua tena kutoka mitaani kwa gharama kubwa kuwapeleka kwenye vituo vya kulea watoto"

Waziri Dkt. Gwajima ameongeza kwamba, ni muhimu kuwa na mfumo ambapo wazazi, walezi na Serikali watakuwa na mawasiliano ya taarifa za mapema kuhusu watoto wenye uhitaji na walio kwenye hatari ya kushindwa kuishi majumbani ili changamoto zao zipatiwe majibu mapema kabla mtoto hajakimbia kwenda mtaani au apewe rufaa kwenda vituo salama kabla ya kuingia mitaani.

"Mtoto mdogo kuishi mtaani peke yake hata kama ni muda mfupi kiasi gani ni hatari na hasara kubwa. Lazima tuzuie na tutafanya mjadala na OR TAMISEMI kuimarisha kuzuia zaidi kuliko kujibu"

Aidha, amewataka watoto wote nchini kuzingatia masomo yao na kuwasihi watoto wanaolelewa kwenye Makao kutumia fursa waliyoipata kutimiza ndoto zao.

Kwa upande wao baadhi ya vijana waliopita katika malezi ya Makao wameipongeza Serikali kwa jitihada inazofanya kuhakikisha watoto wote wanakuwa katika misingi imara.

"Nawasihi wazazi waendelee kuwalea watoto wao bila kuwaacha Ili wasipate changamoto ya malezi" amesema Innocent Suta.

Naye Mratibu wa malezi katika shirika la SOS Village Emmanuel Mwende ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii kwa ushirikiano kwa wadau wanaotunzwa watoto.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.