• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali ya Tanzania yafadhili miradi 215 ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu

Imewekwa tarehe: May 12th, 2021

SERIKALI ya Tanzania imefadhili jumla ya miradi 215 ya sayansi, teknoljia na ubunifu katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, mifugo, afya, nishati, maliasili na viwanda kuanzia mwaka 2015, ambapo miradi 139 imekuwa ya utafiti, 47 ya kiubunifu, 29 ya kuboresha miundombinu ya maabara za utafiti.

Hayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kilele cha mashindano ya kitaifa ya sayansi, teknolojia na ubunifu (MAKISATU) mwaka 2021, yaliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini hapa.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema kuwa mashindano hayo yana umuhimu mkubwa sana katika kuboresha uchumi wa nchi. Mashindano hayo yanagusa uchumi wa mtu binafsi na kuleta mafanikio ya kiuchumi kimataifa, aliongeza.

“Lakini vilevile, kwa upande wa mitaala kutoka ngazi mbalimbali za elimu ni vyema tuandae mitaala ya namna ambayo itawafanya wahitimu kuwa wabunifu mwisho wa masomo yao” amesema Waziri Mkuu Majaliwa.

Waziri Mkuu huyo ameendelea kusema kuwa kazi kubwa ni kuibua, kuinua lakini kutoa kipaumbele, na hati miliki ya mgunduzi ni kipaumbele sababu ndio njia ya kumfanya apate faida kupitia ubunifu wake.

“Takwimu zetu zinaonesha kuwa shirika la hati miliki duniani linaitwa World Intellectual Property Organisation, linalokusanya maombi ya hati miliki kutoka nchi mbalimbali mpaka kufikia mwaka 2020 kwa Tanzania tulipeleka maombi nane huku nchi za jirani 372, afrika ya kusini 1,514” amesema Waziri Mkuu Majaliwa.

Aidha, ameshukuru taasisi 50 za serikali na zisizo za kiserikali zilizoshiriki katika mashindano ya kitaifa ya sayansi, teknolojia na ubunifu, na kuongeza kuwa changamoto zilizopo zimekwisha elekezwa kwa wizara na taasisi zenye dhamana.

Mashindano hayo yaliandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, yamefanyika kwa mara ya tatu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma yakiongozwa na kaulimbiu isemayo sayansi, teknolojia na ubunifu kwa uchumi endelevu.


Matangazo

  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA MAKARANI WAOGOZAJI WAPIGA KURA October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.