• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali yadhamiria kuwawezesha vijana wengi zaidi mikopo ili kushiriki kikamilifu katika sekta ya kilimo

Imewekwa tarehe: September 18th, 2019

Serikali chini Tanzania imeweka mpango madhubuti wa kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu kwenye sekta ya kilimo kwa kuwapatia ujuzi wa mbinu za kilimo bora na kuwawezesha mitaji ya kuanzia kupitia mifuko ya uwezeshaji wananchi ili kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana nchini.

Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya Vijana inayotekelezwa kupitia  Programu ya Opportunities for Youth Employment (OYE) katika Kata za Kikore-Wilaya ya Kondoa na Kata ya Dareda-Babati ambapo vijana wengi wamejiajiri kupitia sekta ya kilimo na ufugaji wa samaki na hivyo kuwasaidia kutatua changamoto za kipato na kushiriki kikamilifu kwenye ujenzi wa uchumi wa Taifa.

"Serikali chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli tutaendelea kuwapa mafunzo stahiki vijana kuhusu kilimo cha kisasa na kutumia teknolojia bora. Kwa sasa tumeanza na mafunzo ya kilimo kwa vijana nchi nzima kupitia 'Greenhouse' na kuwawezesha kupitia mikopo mbalimbali ili waweze kufikia lengo na matarajio yao, na muitikio wa vijana kwa sasa umekuwa mkubwa ndio maana tunaendelea kusisitiza mamlaka za Manispaa na Wilaya kutenga maeneo maalum kwa ajili ya kilimo kwa vijana" Alisema Mavunde.

Naye Meneja Mradi wa OYE kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Nchini Uholanzi (SNV) Bi. Jeann Mwenda amesema kwamba Program ya OYE kwa muda wa miaka 7 tangu kuanzishwa kwake imewafikia na kubadilisha maisha ya vijana 18,000 na hivyo kuiomba Serikali kushirikiana na SNV ili kuwafikia vijana wengi zaidi nchini kuliko ilivyo hivi sasa ambapo mradi huu unatekelezwa katika mikoa michache tu.

Akizungumza kwa niaba ya vijana wengine wanufaika, kijana Marcel Damas wa Kijiji cha Bermi, Kata ya Dareda - Babati ameishukuru serikali katika ngazi ya wilaya kwa kuwasimamia vizuri mpaka kupata mafunzo na uwezeshwaji kupitia programu ya OYE na kutumia fursa hiyo kuwataka vijana wengine waache kulalamika na badala yake wafanye kazi hasa kupitia kilimo.

Baadhi ya picha za matukio aliyoshiriki Naibu Waziri Mavunde.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.