• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali yakumbusha kunawa mikono, usafi ili kujikinga na maradhi

Imewekwa tarehe: February 13th, 2021

WANANCHI wametakiwa kuzingatia usafi binafsi wa mwili na mikono kwa kutumia maji safi tiririka na sabuni mara kwa mara katika maeneo yote ikiwemo maeneo ya kazi, mashuleni, vyuoni, nyumba za ibada, baada ya kutoka maliwatoni na mazingira yenye uchafu.

Rai Imetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi Jijini Dodoma wakati akitoa tamko la wiki ya Elimu ya Afya kwa Umma kwa ajili ya kuimarisha udhibiti wa magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza.

Prof. Makubi amesema kuwa wananchi wanapaswa kufahamu kuwa kinga ni bora kuliko tiba kwani tiba ni gharama na siyo lazima upone maana inaweza kusababisha kifo au ulemavu wa kudumu pamoja na maradhi mengi ikiwemo ya kuambukiza na yasiyoambukiza ambayo yanazuilika iwapo kila mmoja atapata elimu juu ya magonjwa haya na jinsi ya kuzuia.

Aidha, amesema mkakati wa utekelezaji wa usafi umeleta matokeo chanya kwa kipindi cha miaka mwili iliyopita hadi sasa ambapo nchi haijapata visa vya kipindupindu.

“Sasa ni vema kuhamasisha jamii iendelee na hii tabia ya kuhakikisha vifaa vya kunawia na sabuni vinakuwepo katika maeneo yote kuanzia nyumbani hadi mahala pa kazi na ambapo watu hukusanyika ili tuzidi kujikinga na magonjwa yote ya kuambukiza kupitia uchafu ikiwemo magonjwa ya kuhara na mafua”. Alisisitiza Prof. Makubi.

Kuhusu usafi wa mazingira Prof. Makubi alisema wananchi wahakikishe nyumba zinakuwa safi na mizunguko ya hewa inakuwepo ili kujikinga dhidi ya magonjwa ya mafua, homa ya mapafu, malaria, kifua kikuu na ili kulinda kinga za mwili zisishambuliwe na maradhi mara kwa mara. Wananchi wanatakiwa kula lishe bora ili kuimarisha kinga za mwili kwa kula vyakula visivyo na sukari nyingi, kula matunda na kunywa maji kadri ya mahitaji ya mwili.

Hata hivyo Prof. Makubi alihimiza kuwa ufanyaji wa mazoezi ya mwili na viungo ni nguzo muhimu katika kujenga nguvu za mwili ili kuimarisha mifumo ya hewa, mapafu na moyo.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.