• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

SERIKALI YAPELEKA UMEME KATA YA CHIHANGA

Imewekwa tarehe: December 1st, 2023

Na. Prisca Maduhu, CHIHANGA

SERIKALI ya awamu ya sita imepeleka miradi mingi ya maendeleo katika Kata ya Chihanga ikiwa ni pamoja na umeme jambo lililorudisha nuru kwa wananchi.

Kauli hiyo ilitolewa na Diwani wa Kata ya Chihanga, Elisi Chitendya alipokuwa akishukuru baada ya Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma kufanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo katika kata hiyo.

Chitendya alisema “Kata ya Chihanga ni miongoni mwa kata zinazopendelewa na viongozi wa serikali. Kwenye Baraza la Madiwani nikiomba miradi nasikilizwa na ninapewa miradi. Aidha, serikali kuu pia imeleta miradi mingi ya maendeleo ambayo Rais, Mama Samia Suluhu Hassan anatutekelezea. Wananchi wa Chihanga wanaipenda sana CCM”.

Chitendya alisema kuwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu, kata yake haikuwa na umeme, serikali ya awamu ya sita imepeleka umeme. “Napenda kumshukuru sana Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuona wananchi wa Kata ya Chihanga. Tulikuwa na changamoto ya watumishi, sasa tuna watumishi wa kutosha. Mfano nilikuwa na watendaji mitaa wawili kati ya mitaa nane. Kwenye ajira mpya, nimefanikiwa kupata watendaji wa mitaa watano. Tulikuwa na shida sana ya walimu wakikaa mjini lakini serikali imetuona, tumeletewa fedha na tunajenga nyumba za walimu sasa” alisema Chitendya.

Akielezea furaha ya wananchi wake kwa serikali yao, alisema kuwa imerudisha matumaini. “Kuna Mtaa wa Sogeambele ambao ulisahaulika kabisa, hakuna Mbunge wa Jimbo la Dodoma aliyewahi kufika. Lakini Mbunge Anthony Mavunde alifika na wananchi walieleza changamoto zao na waliomba umeme, barabara, maji na zahanati. Na katika miradi hiyo minne, miradi mitatu imeanza kutekelezwa na mradi ambao bado ni wa umeme ambao bajeti itatoka wakati wowote sababu mama Samia anapenda wananchi wake na umeme utakuja” alisema Chitendya kwa kujiamini.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.