• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali yatenga Bil. 207 za maji, Dodoma kazi inaendelea

Imewekwa tarehe: September 10th, 2021

WAZIRI wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameidhinisha shilingi bilioni 207 kwa ajili ya kuhakikisha maji salama yanapatikana Vijijini.

Pia amesema kuwa Bunge la Bajeti limepitisha kiasi cha shilingi bilioni 680 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji mijini na vijijini. Ameyasema hayo alipokuwa anaongea na Wawakilishi pamoja Wahariri wa Vyombo vya Habari Jijini Dodoma.

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesema kuwa upatikanaji wa Maji kwa Jiji la Dodoma umeendelea kuimarika ambapo ameeleza kuwa japo bado uhitaji wa maji ni mkubwa, uzalishaji umeongezeka kutoka lita milioni 61.5 hadi kufikia lita milioni 66. Alisema kuwa uhitaji ni lita milioni 103 hali hii imesababishwa na ongezeko kubwa la watu kutokana na kuwepo kwa Makao Makuu ya Serikali mara mbili zaidi na ilivyokuwa mwaka 2015.

“Zipo jitihada ambazo Wizara hiyo imefanya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA) kwa kuchimba visima vikubwa vitatu Mzakwe na vingine maeneo ya pembezoni na kujenga tanki kubwa eneo la Buigiri, Chamwino huduma ya maji inapatikana kwa uhakika". amesema.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa DUWASA Mhandisi Aron Joseph amewatoa wasiwasi wakazi wa Jiji la Dodoma kuwa Mamlaka hiyo kwa kushirikiana na Wizara ya maji itahakikisha inatatua kero zote za maji kwa kufanikisha miradi yote ambayo inaendelea kutekelezwa.

"Mradi wa kutoa maji Ihumwa kwenda tanki la Njedengwa umefikia asilimia 96 na kufikia mwezi Oktoba mwishoni utakuwa umekamilika na Wananchi wa maeneo Nzuguni, Kisasa, Mwangaza mpaka soko la Job Ndugai yatapata maji ya kutosha," amesema Mhandis Joseph.

Kazi ya kulaza mabomba ya inchi 10 line ya kusambazia maji inaendelea eneo la Mwangaza Fieldforce na mradi huu utahudumia maeneo Mwangaza, Kisasa, Nyumba 300, Ihumwa, Njedengwa, Nzuguni, Stand mpya na Soko la Job Ndugai.

Mradi huu wa Ihumwa - Njedengwa unatarajiwa kukamilika mwezi Oktoba 2021.

Mafundi wakiendelea na kazi ya kulaza mabomba ya inchi 10 line ya kusambaza maji maeneo ya Mwangaza.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.