• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

SHIKUHA kutatua kero za Abiria

Imewekwa tarehe: January 9th, 2025

Na. Coletha Charles, Dodoma

Katibu Mkuu wa Shirika la Kutetea Haki za Abiria nchini (SHIKUHA), Mhandisi Hashim Ramadhani, amewataka abiria kuelewa elimu na haki zao wanapotumia huduma za usafiri kwa kushirikiana na Afisa Usalama barabarani ili kuhakikisha mabasi yanazingatia sheria na huduma bora.

Akizungumza katika mkutano na wajumbe wa shirika hilo kutoka mikoa mbalimbali katika ukumbi wa mikutano wa Rafiki Hoteli jijini Dodoma, Katibu Mkuu alifafanua kampeni za elimu zimekuwa muhimu katika kuhakikisha abiria wanakuwa na uelewa wa kina kuhusu haki zao.

Alisema kuwa, elimu hiyo inatolewa kupitia stendi za mabasi, masoko na sehemu zenye mikusanyiko. Pia alibainisha kuwa maafisa wa shirika hilo watashirikiana na wadau wa sekta ya usafiri kuhakikisha sheria na kanuni zinatekelezwa kwa maslahi ya abiria. “Tumeweka msisitizo katika kuwaelimisha abiria juu ya jinsi ya kuripoti changamoto wanazokumbana nazo, kama vile kucheleweshwa kwa safari, kupotea kwa mizigo, au huduma zisizokidhi viwango na tutashirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) na Polisi. Lengo letu ni kujenga mazingira ya usafiri yenye uwazi, haki, na heshima kwa abiria,” alisema Ramadhani.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Abiria nchini Kanda ya Kati, Anord Kisukuli, alisema kuwa wataendelea kutoa elimu kwa abiria ili kuhakikisha huduma za usafiri zinakuwa salama, zenye ubora, na zinazingatia haki za kila mtumiaji. “Abiria wengi hawawezi kutoa taarifa Polisi wanakuwa wanahofu. Sisi kama SHIKUHA tunachanzo cha kupokea taarifa kama kupiga simu na vyanzo vingine. Hivyo, tunawasihi wapige simu waseme na tunazifikisha kwa mamlaka husika. Kwahiyo, abiria wasiwafumbie macho madereva wanaopenda kuendesha magari wendo ambao hauruhusiwi hadi matokeo yake wanasababisha ajari na watu wanapoteza uhai na viungo” alisema Kisukuli.

Nae, Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Abiria nchini Kanda ya Kusini, Mwalami Shaweji, alibainisha kuwa viongozi wamepewa barua za udhibiti wa kuwapa abiria elimu ya kujua haki zao. “Niwajibu wetu sasa kama viongozi kuwapa elimu abiria na kuwafahamisha kuhusu haki zao, tunajukumu nchi nzima na tunaomba sana ushirikiano kwa sababu wao ndiyo walengwa wasiwe waoga kutoa taarifa. Lakini pia niiombe serikali pindi tunapotoa taarifa zifanyiwe kazi kwa haraka” alisema Shaweji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.