• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

SHIKUHA yatakiwa kutoa elimu ya haki za Abiria

Imewekwa tarehe: January 8th, 2025

Na. Asteria Frank, DODOMA

Shirika la Kutetea Haki za Abiria (SHIKUHA) latakiwa kuwapa elimu ya kutosha abiria kwa lengo la kutatua changamoto za usalama barabarani na kufanya abiria wajuwe haki na wajibu wao.

Kauli hiyo imetolewa na Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe, katika mkutano uliofanyika ukumbi wa Rafiki Hoteli Dodoma alipomuwakilisha Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini.

Prof. Mwamfupe alisema kuwa elimu itolewe wakati safari inapoanza ili abiria akipata sehemu ya kujitetea wanakuwa na amani na dereva akienda tofauti na sheria za barabarani waweze kutoa taarifa kuhusu tukio hilo kwa watu sahihi. “Rai yangu kubwa kama kuna kitu ambacho ningewahasa nyie kama shirika kulifanya hili basi ni kuwa na mpango mkakati na huo mpango utaonesha dira yenu kama mlivyosema kwenye risala na lakini mnataka kufikia wapi mwaka huu na je, tunapimaje viongozi maana nyie ni viongozi wa kitaifa kwa kutunza na kusaidia abiria” alisema Prof. Mwamfupe.

Mwenyekiti wa Taifa SHIKUHA, Solomon Nkiggi, alisema kuwa katika kipindi kifupi cha uwepo wa SHIKUHA imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuongeza uelewa wa abiria kuhusu haki na wajibu wao kwa kuwaelimisha abiria kupitia semina, mikutano na matangazo ya vyombo vya habari kwa baadhi ya mikoa. “Changamoto ni nyingi zinazowakabili abiria wetu ikiwemo kupanda kwa nauli isivyo rasmi, ukosefu wa huduma bora kwa baadhi ya maeneo pamoja na ukiukwaji wa haki za msingi za abiria. SHIKUHA imejipambanua kama daraja kati la abiria na watoa huduma za usafiri na serikali kwa lengo la kushughulikia changamoto hizi” alisema Nkiggi.

Kwa upande wake, Muhasisi wa Utetezi wa Abiria Tanzania, Hassan Mchangama, alisema kuwa SHEKUHA inatetea abiria wa nchi kavu na baharini na wamesimamia maeneo yote. Pia watawaelimisha abiria kujua haki zao mbalimbali kwa mujibu wa sheria za nchi ikiwemo za Latra, Usalama barabarani na kimataifa ikiwemo haki ya kupata fidia mtu anapopata ajali.

“Kwenye eneo la ajali kumekuwa na changamoto kubwa sana maana abiria wengi hawajui namna ya kufuatilia haki zao au baadhi ya sheria zimekuwa na changamoto. Matokeo yake abiria wengi nchini Tanzania wanafariki katika ajali, hawalipwi fidia na wanapata majeraha na hawapatiwi matibabu na wengine wanapoteza mali. Tunajua haki mbalimbali zimeimarishwa kutokana na sheria ikiwemo haki ya kusafiri salama” alisema Mchanjama.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.