• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shindano la Dunia la Urembo, Utanashati na Mitindo laitangaza Tanzania duniani

Imewekwa tarehe: October 30th, 2022

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt, Doroth Gwajima amesema mashindano ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesaidia kuitangaza Tanzania duniani

Gwajima ametoa kauli hiyo kwenye mashindano ya Dunia ya urembo, utanashati na mitindo linalofanyika jijini Dar es Salaam wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassan.

Amempongeza Mhe. Rais kwa kutoa kipaumbele kwenye michezo na kusisitiza kuwa mashindano haya ya michezo na utamaduni yanasaidia kuleta upendo, mshikamano na udugu kwa mataifa mbalimbali.

Amewasihi wazazi wenye watoto walemavu kuwatoa watoto wapate elimu ili waweze kuonyesha vipaji vyao badala ya kuendelea kuwaficha majumbani na kuongeza kuwa sera ya utamaduni 1997 inaeleza ushiriki wa watu wenye ulemavu kwenye utamaduni."Hii imetuonesha kuwa sisi sote ni sawa mbele za Mungu mimi naweza kuwa sina hiki na wewe ukawa na hiki" ameongeza Gwajima

Amesema kupitia mashindano haya na onyesho la Filamu ya Royal tour waliyoitazama watakuwa mabalozi wazuri wa kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini. 

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa maelekezo anayotoa kwenye sekta anazoziongoza ambapo kutokana na maelekezo hayo kumekuwa na mafanikio makubwa.

Amefafanua kuwa wizara yake itaendelea kutafsiri na kutekeleza kikamilifu maelekezo yote yanayotolewa na Rais na Serikali kwa ujumla.

Aidha amesema jukumu la Wizara yake ni kuleta furaha na Faraja kwa watanzania na kwamba shindano hili ni mwendelezo wa Royal Tour.

Mchengerwa ametoa zawadi ya kinyago kwa Rais wa Dunia wa Mashindano hayo Bonita Lee.
Shindano hili limepambwa na wasanii mbalimbali waliotumbuiza na kuwafanya watazamaji kupata burudani ya kutosha.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.