• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shindano la mdahalo kwa wanafunzi laibua matumaini mapya

Imewekwa tarehe: October 4th, 2022

Na Mwalimu Malick Masoud, Dodoma

MASHINDANO makubwa ya kitaaluma yanayohusisha shule za sekondari za jiji la Dodoma yanayojulikana kama ‘Dodoma Inter School Debate Competition’ ambayo yapo chini ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri yanaendelea katika Shule ya Sekondari Dodoma.

Mashindano haya ya mdahalo kwa wanafunzi yameasisiswa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri yakiwa na lengo la kuwajengea wanafunzi uwezo na ari ya kujiamini, kujieleza, kujenga hoja, kuhoji na zaidi kuwajengea uwezo wa maarifa na kitaaluma. Wakati mashindano haya yakiendelea, yameibua matumaini mapya ya ari kwa wanafunzi kufanya vema katika masomo na maisha kwa ujumla.

Mdahalo huu una mada zinazohusu upingaji wa ukatili wa kijinsia kwa lugha ya kingereza na kiswahili.

Ofisi ya Mkuu wa wilaya imeanzisha mashindano kwa lengo la kuinua ufaulu kwa wanafunzi yakihusisha shule takribani 16, kati ya shule hizo ni Dodoma Sekondari, Viwandani, Umonga, Kisasa, Hazina, Sechelela, Nzuguni, Kiwanja cha Ndege, Mnadani, Mkonze, Mlimwa, Miyuji, Chinangali na shule ya Kizota  zilizoshiriki huku shule ya Kikuyu na Makole hazikufika kushiriki.

Katika mashindano hayo ambayo yamekuwa na mchuano mkali na wa kuvutia kwa vijana kutokana walivyoweza kujibizana kwa hoja na kutetea hoja na maswali mbalimbali yaliyoulizwa yamewezesha shule kama Dodoma sekondari, Nzuguni, Sechelela, Miyuji, Mnadani, Mkonze na Kiwanja cha ndege kuweza kufuzu hatua inayofuata huku shule ya sekondari Kisasa ikifanikiwa kuingia kama ‘Best Looser’ kwa hatua ya nusu fainali inayoendelea.

Mashindano haya yalizinduliwa na Afisa Tarafa Wa Dodoma Mjini Bi. Zainabu Issa ambaye alimwakilisha Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini.  

Akitoa salamu za wakuu wa shule na kwa niaba ya Afisa Elimu Sekondari Mwenyekiti wa TAHOSA Mwalimu Fred Nyandoro alisema wameahidi kuendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, pia kwa Kamati nzima ya maandalizi ya mashindano haya kwa kuhakikisha kila jambo jema linalohusu elimu linafanikiwa na kuleta matokeo chanya kwa wanafunzi na Walimu kwa ujumla.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Shindano hili Mwalimu Malick Masoud aliitambulisha kamati yenye wajumbe ambao ni Mwalimu Yasin Mponda, Mwalimu Ester Bahati, Salimu Dewji, Christina Mwinuka, Nurdin Ngapanya na Mwalimu Kasimu Njonjoro. Mwenyekiti Masoud aliwashukuru sana waratibu wote waliosaidiana katika jambo hili kubwa na kuwaomba kuendelea kushirikiana kwa kila hatua.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.