• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shirika La JSI Lakabidhi Vitendea Kazi Kwa Wasimamizi Wa Wasimamizi Wa Mashauri Ya Watoto Ngazi Ya Jamii

Imewekwa tarehe: January 17th, 2018

Shirika la John Snow Incorporation (JSI) kwa kushirikiana na World Education Inc, chini ya makubaliano kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Marekani kupitia msaada wa watu wa Marekani USAID, lilianza kufanya kazi Mkoani Dodoma  mwaka 2014 likitekeleza mradi wa kuimarisha mifumo ya utoaji huduma za afya na Ustawi wa Jamii katika Halmashauri 84 Tanzania ikiwemo Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma.

Katika kutekeleza mradi huu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Idara ya Ustawi wa Jamii na TAMISEMI iliandaa mfumo jumuishi wa kitaifa wa usimamizi wa mashauri ya watoto ngazi ya jamii. Mafunzo hayo yalifanyika hapa Mkoani Dodoma mwanzoni mwa mwezi August 2017 kwa wasimamizi wa mashauri ya watoto ngazi ya jamii (CCW). Mafunzo haya yalijumuisha wasimamizi wa mashauri ya watoto wapatao 144 wakiwemo (wanawake 78 na wanaume 66) kutoka katika Kata 30 za Manispaa ya Dodoma pamoja na wasimamizi wao 22 wakiwemo yaani wanawake 14 na wanaume 8). Jumla ya wasimamizi wote waliopata mafunzo ni 66 kwa Manispaa ya Dodoma.

Kufuatia mafunzo hayo Shirika la John Snow Incorporation  pia limewapatia wasimamizi wa wasimamizi wa mashauri ya watoto ngazi ya jamii vitendea kazi ambavyo ni baiskeli na makabati ya kuhifadhia vyaraka. Zoezi hili la kukabidhi vitendea kazi  hivyo lilifanyika leo tarehe 17.01.2018 katika ngazi ya Halmashauri likimhusisha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Mh. Profesa Davis Mwamfupe na Mkurugenzi wa  Manispaa ya Dodoma ndugu Godwin Kunambi, Afisa Ustawi wa Jamii Beatrice Lyimo na wasimamizi wa wasimamizi wa mashauri ya watoto ngazi ya Kata kutoka katika Kata 25 za Manispaa ya Dodoma.

Shirika la John Snow Incorporation (JSI) limetoa vitendea kazi hivyo, baiskeli 25 ili kurahisisha usafiri katika maeneo yao mbalimbali ya kazi na makabati 16 kwa ajili ya kuhifadhi taarifa mbalimbali za utendaji wa kazi zao za kila siku. Shirika lilikabidhi vitendea kazi hivi kwa Mstahiki Meya na Mkurugenzi ambao walifanya jukumu la kukabidhi rasmi vitendea kazi hivyo kwa wasimamizi wa wasimamizi wa mashauri ya watoto ngazi ya Kata.

Kata zilizopatiwa vitendea kazi hivyo ni kata ya Kilimani. Viwandani, Dodoma Makulu, Chigongwe, Chamwino, Nkuhungu, Kizota, Ipagala, Makole, Nala, Tambukareli, Kikuyu Kaskazini, Kikuyu Kusini, Iyumbu, Ipala, Mpunguzi, Mbabala, Mkonze, Matumbulu, Kiwanja cha ndege, Miyuji, Nghong`onah, Hazina, Madukani na Ntyuka.

Kutazama picha zaidi za tukio hili, Bofya hapa:



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.