• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shule ya mfano kuanza Machi mwaka huu

Imewekwa tarehe: March 2nd, 2020

MADIWANI wa Viti maalumu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametembelea na kukagua ujenzi wa shule ya mfano ya Msingi inayojengwa Kata ya Ipagala Jijini humo.

Shule hiyo inayotarajiwa kufunguliwa mwezi Machi mwaka huu inajulikana kwa jina la Mtemi Mazengo Shule ya Msingi na itachukua wanafunzi kutoka maeneo ya jirani na Kata hiyo.

Mkuu wa Shule ya Msingi Ipagala B ambaye anasimamia ujenzi katika shule hiyo Imani Weston amesema hadi sasa ujenzi katika shule hiyo umefikia asilimia 95 ambapo kazi iliyobaki ni kukamilisha ujenzi wa chemba za vyoo.

“Shule hii itakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 705 tunatarajia itaanza kazi baada ya likizo ndogo ya mwezi Machi mwaka huu” alisema Mwalimu Weston.

Alisema wanafunzi hao  watatoka katika shule za Chadulu, Medeli , Mlimwa C, Ipagala na Ipagala B ambazo zote zipo jirani na shule hiyo, na kwamba kigezo cha uwezo wa mwanafunzi kitazingatiwa ili asajiliwe.

“Shule hiyo ina madarasa 17, vyoo vya wanafunzi jinsia zote na walimu, nyumba za walimu, bwalo la chakula, viwanja vya michezo, maabara na maktaba,  tunaishukuru sana Serikali kwa mradi huu muhimu” alisema Weston.

Wakizungumza  wakati wa ziara hiyo, baadhi ya Madiwani hao walishauri shule hiyo iwe na mabweni ili kuwawezesha wanafunzi wa maeneo ya mbali na Kata ya Ipagala kupata fursa ya kusajiliwa na kusoma kwa kuzingatia uwezo wa mwanafunzi husika.

 “Natamani sana shule hii iwe ya bwebi kwani wanafunzi wanaosoma katika shule hii watakuwa wanasajiliwa kwa kutazama uwezo wao darasani hivyo hawaishi hapa Ipagala wote, wapo watakaotoka shule za pembezoni,  kama kutakuwepo na mabwebi kutawasaisdia sana watoto kutotembea kwa umbali mrefu kuja shuleni.

Jumla ya walimu 20 kutoka shule tano zitakazotoa wanafunzi watahamia na kufundisha katika shule hiyo ambayo inatarajiwa kuwa ya mfano kwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na ujenzi wake unagharamiwa na Serikali Kuu kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.