• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shule ya Wasichana Msalato yapaa ufaulu Kidato cha VI kitaifa, siri yaanikwa

Imewekwa tarehe: August 25th, 2020

Halmashauri ya Jiji la Dodoma, imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kukarabati mabweni ya shule ya Wasichana ya Msalato Jijini hapa hatua ambayo imeongeza ufaulu wa wanafunzi kutokana na uwepo wa mazingira mazuri ya kusomea.

Hayo yamesemwa na Afisa Elimu ya Sekondari wa Jiji la Dodoma Mwalimu Upendo Rweyemamu alipokua akizungumza na mwandishi wetu ofisini kwake kuhusu kupanda kwa ufaulu wa Jiji la Dodoma katika matokeo ya kidato cha sita mwaka 2020.

Mwalimu Rweyemamu alisema kuwa shule ya wasichana ya Msalato imepanda kutoka nafasi ya 81 mwaka 2019 hadi kufikia nafasi ya 15 kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita mwaka 2020.

“Kitendo cha Mhe. Rais, Dkt. John Pombe Magufuli cha kukarabati shule kongwe nchini ikiwemo shule yetu ya wasichana Msalato, ndicho hasa kilichochangia matokeo haya, pamoja na juhudi za walimu, lakini mazingira ya ufundishaji na kufundishia yamebadilika sana jambo linalowapa wanafunzi wetu hamasa ya kusoma” Alisema Mwalimu Rweyemamu.

Aidha alisema kuwa Serikali ilitoa kiasi cha shilingi milioni 937.5 kwa shule ya wasichana Msalato kwa ajili ya kukarabati mabweni nane, ambayo tayari yamekwisha karabatiwa na wanafunzi wanalala katika mazingira safi na salama tofauti na ilivyokuwa awali.

“Ukiitembelea Msalato sasa ni tofauti kabisa na ilivyokua mwanzo, inapendeza sana lakini sio kuongeza ufaulu kwa wanafunzi tu bali hata walimu hawapati kazi kubwa kufundisha kwa sababu yule wanayemfundisha tayari akili yake imekaa kwenye utayari wa kupokea anachofundishwa kutokana na mazingira mazuri yaliyowekwa na Rais wetu” Aliongeza Mwalimu Rweyemamu.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.