• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani Septemba 28

Imewekwa tarehe: September 28th, 2020

Kichaa cha mbwa (Rabies) ni ugonjwa unaowapata wanyama wote wanyonyeshao (Mbwa, Paka, Binadamu, Ng’ombe, nk)
Ugonjwa huu unasababishwa na kirusi (Rabies Virus), Virusi hawa wanashambulia mfumo wa fahamu.

Unavyoenea: Ugonjwa huu Huenea kwa njia ya mate.
Mate haya yanakua na virusi na yanaweza kumfikia mnyama mwingine kwa njia ya kuuma au kumtemea mate kwenye maeneo yenye vidonda, machoni, puani au mdomoni.
Virusi Husafiri toka sehemu waliyoingilia/iliyong’atwa na kwenda mpaka kwenye Ubongo kisha huzaliana na kurudi tena kwenye tezi za Mate (Mdomoni).
Dalili za ugonjwa huu hujitokeza kati ya siku 14 - 80 tangu mtu/mnyama apate maambukizi.

Dalili za Kichaa cha mbwa kwa binadamu

  • Homa
  • Kuumwa kichwa na mwili
  • Kuwasha sehemu ya jeraha
  • Kuogopa mwanga
  • Kuogopa maji (pamoja na maji ya kunywa)
  • Kuchanganyikiwa na kuvunja/kupiga vitu
  • Kutokwa na mate mengi mfululizo
  • Kuweweseka na kushtuka mara kwa mara
  • Kupoteza fahamu
  • Kupooza, kudhoofu na hatimaye kupoteza maisha

Ni muhimu kupata chanjo mara tu unapong'atwa na Mbwa kabla dalili kuonekana kwani ugonjwa huu hauna tiba

Dalili za Kichaa cha mbwa kwa wanyama

  • Kuwa mkali au mpole kuliko kawaida
  • Kung'ata vitu hovyo hovyo
  • Kung'ata watu hovyo hata asipochokozwa
  • Kutokwa na mate mengi mdomoni
  • Kuogopa maji
  • Kushindwa kula au kunywa maji
  • Kupoteza fahamu
  • Kupooza baadhi ya viungo na kufa

Uonapo mnyama mwenye mojawapo ya dalili hizi, toa taarifa haraka kwa Mtaalam wa Mifugo, Serikali ya Kijiji/Mtaa au Kata ili mnyama husika adhibitiwe

Jinsi ya kuhudumia jeraha lilitokana na kung'atwa na mnyama

Endapo mtu atang'atwa na Mbwa au mnyama mwingine aoshe jeraha kwa maji mengi yanayotiririka kwa angalau dakika 15. Kidonda kisifungwe, kisha apelekwe haraka kwenye kituo cha huduma za afya kupatiwa chanjo kuzuia madhara dhidi ya Kichaa cha Mbwa.

Mbwa na Paka wapelekwe kuchanjwa dhidi ya Kichaa cha Mbwa kila mwaka au kulingana na ushauri wa Mtaalam wa Mifugo.

KUMBUKA: Chanjo ni njia pekee inayotumiaka kumkinga Mbwa na wanyama wengine dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Kichaa cha Mbwa.

SAMBAZA UJUMBE HUU, OKOA MAISHA

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.