• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Siku ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi yaadhimishwa Dodoma

Imewekwa tarehe: September 28th, 2019

Taasisi ya DOYODO kwa kushirikiana  na shirika la MULIK-Tanzania, YUNA-Tanzania na The Green Icon wameadhimisha siku ya mabadiliko ya Tabia ya Nchi jijini Dodoma.

Mgeni rasmi wa maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, ambaye aliwakilishwa na mkuu wa wilaya ya Kongwa Mhe. Deogratius Ndejembi.

Maadhimisho haya yalianza kwa maandamano kutokea Viwanja vya Bunge la Tanzania jijini Dodoma hadi kwenye eneo la Nyerere Square. Maandamano haya yalishirikisha Watendaji wa Kata, wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, wanavyuo na wananchi mbalimbali waliojitokeza.

Aidha, katika hotuba yake, Mhe. Ndejembi alihimiza kuundwa club za mazingira mashuleni zitakazo kabiliana na Mabadiliko ya TabiaNchi kwa kutoa elimu na kupambana na mabadiliko ya tabianchi kwa vitendo.

Vile vile Mkurugenzi Mtendaji wa DOYODO Rajabu Juma Suleiman alisisitiza kuwa ni jukumu letu sote kuhakikisha tunatatua athari zinazosababishwa na mabadiliko ya TabiaNchi, Suleiman aliishukuru Serikali kwa jinsi inavyoendelea kuiamini taasisi ya DOYODO na kuzidi kushirikiana katika kusukuma mbele gurudumu ya maendeleo ya nchi yetu hususani kwa kutumia na kuwaandaa vijana.

Baadhi ya picha za matukio mbalimbali yaliyojiri wakati wa maadhimisho.

Mwakilishi wa mgeni rasmi Mhe. Deogratias Ndejembi Mkuu wa Wilaya ya Kongwa ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akiteta jambo na mmoja wa waandaaji wa maadhimisho ya Siku ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya DOYODO Rajabu Juma Suleiman.

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Jiji la Dodoma Sharifa Nabalang'anya akiongea wakati wa maadhimisho hayo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.