• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Simba yaifunga Dodoma Jiji kwa shida Dar

Imewekwa tarehe: April 28th, 2021

Timu ya Dodoma Jiji FC jana imepoteza mchezo wake dhidi ya wenyeji Simba ya Dar es Salaam kwa kufungwa magoli 3 – 1 katika mchezo mkali uliofanyika kuanzia saa 1 usiku katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Simba ndio walikua wa kwanza kupata goli katika dakika za mwanzo za mchezo na baadae Dodoma Jiji kuushika mchezo na kufanikiwa kurejesha goli hilo kupitia kwa mchezaji wake wa kati Cleophace Mkandala mnamo dakika ya 29 ya mchezo goli lililodumu mpaka kipindi cha mapumziko.

Baada ya kurejea katika kipindi cha pili Simba walionekana kurudi mchezoni na kupachika magoli mengine mawili na kufanya mechi hiyo kumalizika kwa Dodoma Jiji kufungwa goli 3 – 1.

Akizungumza baada ya mchezo huo kocha Mkuu wa Dodoma Mbwana Makata alisema kuwa anawapongeza wachezaji wake kwa kupambana na kuonesha mpira mzuri muda wote wa mchezo na kwamba matoke hayo hayawarudishi nyuma katika mapambano yao ya kumaliza ligi katika tano za juu.

Makata alisema kuwa Simba ni timu kubwa na ina wachezaji wenye uzoefu na ligi hivyo anaamini kadri siku zinavyosogea na kikosi chake pia kitaendelea kuimarika na kufanya vizuri Zaidi.

“Matokeo haya hayatuvunji moyo, tuna michezo mingine inakuja kwaiyo tukiruhusu matokeo haya yatufanye wanyonge tutapoteza malengo na tutaishia kufanya vibaya kwenye ligi kwaiyo nimewaambia vijana wangu wamejitahidi na tunasafari ndefu ya kwenda basi kazi iendelee” Aliongeza Makata.

Matokeo hayo yanawafanya Dodoma Jiji kusalia katika nafasi ya sita wakiwa na pointi 38, huku akicheza michezo 28.

Tayari Kikosi cha Dodoma Jiji FC leo kimeanza safari ya kurejea Jijini Dodoma baada ya kupoteza mchezo wake dhidi ya Simba hapo jana katika dimba la Mkapa.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.