• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Sina mashaka kabisa na Jiji la Dodoma, nitawapigania - Waziri Jafo

Imewekwa tarehe: August 6th, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma yapongezwa kwa kutumia asilimia 75 ya mapato yake ya ndani katika miradi ya maendeleo likiwa ni ongezeko zaidi ya asilimia 15 ya maelekezo ya serikali.

Pongezi hizo zilitolewa na waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman Jafo alipokuwa akitoa salamu zake katika mkutano wa mwaka wa baraza la madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma jana katika ukumbi wa mikutano wa Jiji hilo.

Waziri Jafo alisema “nilikuwa nikipitia miradi yenu, zaidi ya asilimia 75.6, ambapo ninyi mmewekewa malengo kuwa si chini ya asilimia 60 iende kwenye miradi ya maendeleo. Ninyi mmevuka viwango zaidi ya asilimia 75. Maana kukusanya ni jambo lingine na kupeleka katika matumizi sahihi ni jambo jingine pia. Mmekusanya vizuri na mmepeleka kwenye miradi ya maendeleo. Na kilichonifurahisa sana ni mpango wenu wa kubuni miradi ya kimkakati mikubwa ya kusaidia Halmashauri yenu kuongeza mapato. Dodoma tunataka iwe tofauti na hii tofauti naiona. Kwa vile mmeshatenga bajeti safari imeanza. Mimi nitawapigania, Dodoma tunataka Jiji la mfano miradi ya kimkakati itekelezwe” alisema Waziri Jafo.

Waziri huyo aliitaka Halmashauri hiyo kusimamia vizuri utekelezaji wa miradi ya kimkakati ili thamani ya fedha ionekane. “Mjiepushe na wakandarasi makanjanja. Wanaopita maofisini kwenda kudai kazi. Zingatieni sheria ya manunuzi” alisema Waziri Jafo.

“Mstahiki meya niwapongeze kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya katika Jiji la Dodoma. Jiji la Dodoma katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 185 ambazo Mheshimiwa Rais amenipa kuzisimamia, sina mashaka ya aina yoyote, ninaposema kwamba katika Mamlaka za Serikali za Mitaa isiyonisumbua kichwa kabisa ni Jiji la Dodoma, sina mashaka kabisa” alisema kwa kujiamini Waziri Jafo.

Vilevile, alipongeza mipango mizuri inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kujiondoa katika utegemezi wa kiwango kikubwa kwa serikali kuu. “Leo hii Halmashauri nyingine utegemezi ni zaidi ya asilimia 90. Ninyi Halmashauri yenu mpo mbali sana” alisema Waziri Jafo.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.