• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Soko, Stendi Kuu ya Mabasi sasa kukamilika Februari, 2020

Imewekwa tarehe: November 23rd, 2019

MKANDARASI anayejenga miradi ya kimkakati ya Soko Kuu na Stendi Kuu ya kisasa ya mabasi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mohammedi builders kukamilisha na kukabidhi majengo hayo ifikapo tarehe 15 Februari, 2020.

Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipokuwa akiongea na wananchi wa Dodoma baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa majengo ya Soko Kuu na Stendi Kuu ya Mabasi ya Dodoma leo. Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza Soko Kuu jipya litakapokamilika liitwe kwa jina la Ndugai kwa heshima ya Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai.

Rais Dkt. Magufuli amesema “ifikapo tarehe 15 Februari, 2019 muwe mmekabidhi miradi hii”. Aidha, aliishukuru benki ya dunia kwa kuikopesha fedha Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo. “Shilingi bilioni 38 tumekopa, siyo za bure, tutazilipa kwa riba. Tumekopeshwa sababu tumeaminika na kuheshimika” alisisitiza Dkt. Magufuli.

Vilevile, aliutaka uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kumsimamia mkandarasi kukamilisha miradi hiyo kwa muda aliopangwa. “Fedha ya Serikali lazima itumike vizuri” alisisitiza Rais Dkt. Magufuli.

Wakati huohuo, amepongeza kwa kutengwa eneo kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo. “Bahati nzuri mmetenga eneo la machinga, wataingia na kufanya biashara zao na vitambulisho  vya Machinga, hakuna kuwadai fedha” aliagiza Rais.

Mwonekano wa Soko Kuu la Dodoma lililopo eneo la Nzuguni ambalo limewekewa jiwe la msingi na Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, ujenzi wa Soko hili unatarajiwa kukamilika mwezi Februari 2020.


Mwonekano kutoka angani wa Stendi Kuu ya mabasi ambayo ujenzi wake imewekewa jiwe la msingi na Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Ujenzi huu unatarajiwa kukamilia mwezi Februari 2020

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.