• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Stendi Kuu, Soko Jijini Dodoma kuanza kutumika rasmi

Imewekwa tarehe: April 6th, 2020

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi ameongea na waandishi wa Habari mapema leo katika ukumbi wa Jiji la Dodoma na kuutaarifu umma wa Watanzania juu ya ufunguzi wa miradi ya kimkakati ya Jiji la Dodoma ambayo imekamilika na inatarajiwa kuanza kutumika mwezi huu wa Aprili.

Maradi hiyo iliyoanza kujengwa na kampuni ya Mohamed Builders miezi 15 iliyopita sasa imekamilika na miradi yote yaani kituo kikuu cha mabasi, Soko kuu la Ndugai, kituo cha kupumzikia cha Chinangali na kituo cha kuegesha malori imeshakabidhiwa kwa Halmashauri ili ianze kufanya kazi kwa kuwahudumia Wananchi.

“Baada ya kukamilisha ujenzi huu mkandarasi amekabidhi miradi kwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na Halmashauri inatangaza fursa kwa Wananchi wa Tanzania.

“Miradi tayari imekamilika na tunawakaribisha wananchi wote wa Dodoma na Tanzania kwa ujumla kuja kuchukua fomu kwa ajili ya uwekezaji kwa kupanga fremu za maduka na vizimba kwa ajili ya kufanya biashara” alisema Mkurugenzi Kunambi mbele ya Wanahabari.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, miradi hii imejengwa kwa takribani shilingi bilioni 89, fedha zilizotolewa na Serikali Kuu inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Mkurugenzi Kunambi amesema fomu za maombi ya maeneo ya biashara katika katika miradi hiyo zitaanza kutolewa Jumanne ya Aprili 7, 2020 katika Ofisi za Halmashauri ya Jiji za zamani.

Aidha, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma alizungumzia suala la kuanzishwa kwa Kampuni ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambayo ndiyo itakayosimamia uendeshaji wa miradi huku Halmashauri ikiendelea na majukumu yake ya msingi ya kutoa huduma za kijamii kwa wakazi wa Jiji hilo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.