• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Sumbawanga wafurahia elimu kutoka Dodoma Jiji

Imewekwa tarehe: June 22nd, 2022

Na. Theresia Francis na Dennis Gondwe, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeendelea kupokea wageni kutoka halmashauri nyingine wanafika kujifunza juu ya kuanzisha vyanzo vipya vya mapato ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan.

Akiongea wakati wa kuwakaribisha wageni kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Naibu Meya wa Jiji hilo, Emmanuel Chibago alisema kuwa Dodoma ilianzisha miradi mbalimbali kwa ajili ya kuongeza wigo wake wa kukusanya mapato.

Chibago alisema “nimefurahi kupata ugeni wa madiwani kutoka Manispaa ya Sumbawanga, tunashukuru kwa ujio wenu mjisikie mpo nyumbani. Ujio wenu unafungua ukurasa mpya wa uhusiano wa kiutendaji baina yetu” alisema Chibago.

Kiongozi wa msafara huo ambae ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga, Justine Malisawa alisema kuwa ziara hiyo itawajengea uwezo madiwani katika kufanya maamuzi kwenye utekelezaji wa miradi ya kimkakati. Alisema kuwa uwezo huo utakuwa katika maeneo ya kutambua gharama za miradi, utekelezaji wa miradi hiyo na kubuni vyanzo vipya vya mapato. Eneo lingine alilitaja kuwa ni usimamiaji wa mapato yanayopatikana kupitia miradi hiyo.

Aidha, aliwapongeza viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa utekelezaji mzuri wa miradi ya kimkakati. “Ndugu zangu viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma mmefanya kazi kubwa katika kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan. Tumeona na tumejifunza mambo mbalimbali kupitia miradi inayoendelea kutekelezwa jijini Dodoma. Miradi hiyo na utekelezaji wake umetupa nguvu na moyo kuona hakuna kinachoshindikana. Hata sisi tunaweza kuwekeza vyanzo vipya vya mapato katika halmashauri yetu. Tutoe wito kwa halmashauri zingine zije kutembelea Jiji la Dodoma na kujifunza” alisema Malisawa.

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga walifanya ziara ya mafunzo katika Jiji la Dodoma kutembelea na kujifunza miradi mbalimbali inayotekelezwa katika jiji hilo kwa lengo la kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato ikiwa ni utekelezaji agizo la Serikali kuzitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kubuni vyanzo vipya vya mapato.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.