• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuadhimisha miaka 102 ya kuzaliwa Baba wa Taifa

Imewekwa tarehe: April 11th, 2024

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, leo Aprili 11, 2024 amefanya Mkutano na waandishi wa Habari (Press conference) kuhusu maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 102 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yatakayofanyika Aprili 13, 2024.

Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa ofisi yake jengo la Mkapa Jijini Dodoma lengo kuu la maadhimisho hayo likiwa ni kushirikisha Watanzania, Wizara, Taasisi n.k katika kumuenzi Baba wa Taifa kwa mazuri aliyotufanyia.

"Pamoja na maadhimisho haya, Tarehe 13/04/2024, Taasisi itakua na Mdahalo kuhusu umuhimu wa kudumusha Amani na mshikamano wa Taifa chini ya mwamvuli wa kauli mbiu isemayo 'Kudumusha Amani - ni haki na wajibu wetu kwa maendeleo endelevu ya Taifa letu' pia, Taasisi itamuenzi Baba wa Taifa kwa kuasisi uhifadhi wa Maliasili za Taifa na Utunzaji wa Mazingira" Amesema Mhe. Senyamule

Kadhalika, Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Taifa Ndugu Peter Mavunde ameeleza namna Taasisi yake inavyofanya kazi katika kuenzi mambo mbalimbali aliyoyafanya Baba wa Taifa.

"Taasisi hii ina miaka mitatu mpaka Sasa ambapo ilianza rasmi mwaka 2021 kwa kufanya Kongamano la miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa. Mwaka 2022 walizindua Mpango wa kuwarithisha vijana wetu waliopo shuleni na vyuoni mambo mazuri aliyoyafanya Baba wa Taifa" Ndugu Peter Mavunde

Maadhimisho ya mwaka huu yatahudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mabalozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na nchi rafiki, Viongozi wastaafu wa Kitaifa pamoja na viongozi wote wa ngazi tofauti tofauti za Serikali wakiwemo wanafunzi wa ngazi zote.

Maadhimisho ya mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma uliopo Mtumba - Mji wa Serikali ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.