• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Taasisi ya Ndoa iimarishwe- Mpanju

Imewekwa tarehe: December 14th, 2023

Na WMJJWM,Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju amewataka watekelezaji wa Mpango wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto (PJT-MMMAM)kuhakikisha wanatumia mipango na mbinu sahihi kutekeleza maazimio waliyojiwekea katika mkutano huo.

Mpanju ametoa maelekezo hayo wakati akifunga mkutano wa Kitaifa wa wadau hao uliofanyika kwa siku tatu kuanzia Desemba 11-13, Jijini Dodoma.

Amefafanua kuwa endapo wadau hao watatumia ipasavyo majukwaa ya kidini na Kiserikali kusambaza elimu kwa Wazazi, Walezi na Jamii kuhusu umuhimu wa kuwekeza kwenye Malezi na Makuzi ya Mtoto,kutakua na mabadiliko chanya yaliyokusudiwa.

“Kuwafikia viongozi wa dini ni suala la msingi kwani wao ndiyo wanaoshiriki kikamilifu katika hatua zote muhimu za mahusiano kabla ya mtoto kupatikana yaani, uchumba na ndoa, ni muhimu kuwekeza katika sekta hii ili kuhakikisha tunaowaandaa kuwa wazazi wanakuwa na elimu sahihi kuwajibika na kuwapatia watoto malezi chanya”amesema Mpanju.

Vilevile Mpanju amesema programu ya MMMAM imeshazinduliwa katika mikoa yote 26 na Halmashauri 70 kwa ushirikiano wa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wa Serikali, wadau wa maendeleo, Asasi za kiraia pamoja na Waandishi wa habari vinara ambao wamekua chachu kuhakisha mpango unatekelezwa katika ngazi zote.

Akizungumza na washiriki wa mkutano huo Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mtoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Sebastian Kitiku amefafanua maazimio yaliyowekwa katika kikao hicho yanayolengwa kutekelezwa na wadau wote katika ngazi za Halmashauri na Mikoa.

“Maazimio yameshirikisha makundi matatu ambapo kundi la kwanza ni asasi za kiraia,waandishi wa habari vinara na Serikali ambapo maazimio hayo ni; Ujumuishwaji wa programu hii ya MMAM katika bajeti ya mwaka 2024-2025 ambapo OR-Tamisemi itajumuisha programu hii katika bajeti yake,Kufikia halmashauri zote 184 kwani tayari programu hii inatekelezwa katika halmashauri 70 na Uimarishwaji wa uratibu kupitia mwongozo utakaosimamiwa na Maafisa ustawi wa Jamii .

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.