• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tahadhari dhidi ya UVIKO, DC Dodoma akipokea Mwenge

Imewekwa tarehe: July 28th, 2021

WASHIRIKI katika kukimbiza Mwenge maalum wa Uhuru mwaka 2021 wametakiwa kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19.

Ushauri huo ulitolewa na Kiongozi wa mbio za Mwenge Maalum wa Uhuru mwaka 2021, Lt. Josephine Mwambashi alipoongoza timu yake ya wakimbiza Mwenge maalum wa Uhuru kitaifa kuingia Wilaya ya Dodoma katika eneo la Makutopora leo. 

Lt. Mwambashi alisema kuwa ugonjwa wa UVIKO-19 upo. “Katika kukabiliana na tahadhari ya ugonjwa huo ni muhimu kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia vitakasa mikono. Na wote tunaokimbiza Mwenge maalum wa Uhuru tuwe tumevaa barakoa” alisema Lt. Mwambashi.

Kila msoma taarifa ya mradi, baada ya kuisoma atabaki na taarifa hiyo, hataikabidhi kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa, aliongeza. “Kwenye miradi hasa ya majengo tutaingia watu wachache ili kujipa nafasi” alisema Lt. Mwambashi.

Akikiri kuupokea Mwenge maalum wa Uhuru mwaka 2021, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri alisema “nakiri kuupokea Mwenge maalum wa Uhuru kutoka kwa Mheshimiwa Dkt. Khamis Mkanachi, Mkuu wa Wilaya ya Kondoa ukiwa unawaka na kumeremeta”. Alisema kuwa ukiwa wilayani Dodoma, Mwenge huo utakimbizwa umbali wa kilometa 101 na utapitia miradi mitano ya maendeleo yenye thamani ya shilingi 28,491,637,324.

Wakati huohuo, Shekimweri aliwapongeza wakimbiza Mwenge hao kwa kuaminiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kukimbiza Mwenge maalum wa Uhuru kitaifa mwaka 2021.  

Mwenge Maalum wa Uhuru mwaka 2021 unaongozwa na kaulimbiu isemayo “TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu; itumie kwa usahihi na uwajibikaji”. Mapokezi ya Mwenge huo yaliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, na kushuhudiwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, viongozi wa CCM Wilaya, Wabunge, Kamati ya Usalama ya Wilaya, Mkurugenzi wa Jiji, Madiwani, Timu ya Wataalam ya Halmashauri, Watumishi wa Jiji la Dodma na mamia ya wananchi wa Wilaya ya Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.