• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TAKUKURU Rafiki kutatua kero Kata ya Chang'ombe

Imewekwa tarehe: August 10th, 2023

Na Tabitha Joshua, CHANG’OMBE

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma imeanzisha programu iitwayo TAKUKURU Rafiki inayolenga kuongeza ushiriki wa wananchi katika kukabili vitendo vya rushwa kwa jamii.

Kauli hiyo ilitolewa na Afisa Uchunguzi wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, Michael Sanga katika kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Chang’ombe iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Sanga alisema “TAKUKURU Rafiki ipo kwa lengo la kufikia wananchi kwa karibu na kutatua kero zao wenyewe ambazo zinapatikana katika idara zote, zinazopatikana katika kata hii. Vikao vyote vinavyohusu TAKUKURU Rafiki vinafanywa katika ngazi ya kata Mwenyekiti wake ni diwani wa kata na katibu wake anakuwa ni Afisa Mtendaji wa Kata”.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa Kata ya Chang’ombe, Tunu Dachi aliishukuru Ofisi ya TAKUKURU kwa kuanzisha proramu hii kwasababu imeweza kuondoa kero za wananchi katika kata hii. “Katika kikao hiki, tumeweza kupata kero mbalimbali takribani kero tisa katika idara tofauti. Kero hizo zilihusu maji, kero za vijana wa bodaboda, ubovu wa miundombinu katika soko kipindi cha mvua na barabara, na pia tumehakikisha kuwa ndani ya mwezi mmoja kero walizozitoa zitakuwa zimepewa majibu” alisema Dachi.

Alisema kuwa katika kikao hicho, kamati ndogo imechaguliwa ambayo ina mwenyekiti, katibu na mtendaji kwa lengo la kuharakisha kushugulikia na kutatua kero za wananchi.

Mwenyekiti aliyeteuliwa katika kamati ndogo, Jafari Musa Athumani alisema kuwa amefurahishwa na juhudi za TAKUKURU Rafiki kutoa elimu ya mapambano dhidi ya rushwa na kutatua kero za wananchi. “Ni vizuri kwa TAKUKURU jinsi walivyotoa elimu kwasababu watu wengi hawaelewi juu ya jambo hilo na pia ni vizuri kuwa watu wametoa kero zao ili ziweze kushughulikiwa” alisema Mwenyekiti Athumani.

Mwenyekiti huyo aliwataka wananchi kutokuwaogopa TAKUKURU badala yake badala yake kuwapa ushirikiano mkubwa kwa kutoa taarifa za vitendo cha rushwa katika Kata. “Kwa hatua hii taifa litafika mbali kwasababu itakuwa imeweza kutatua yale matatizo ambayo yameweza kuharibu uhusiano kwenye jamii nzima” alisema Athumani.

Kikao hicho kilihudhuriwa na wafanyabiashara, wananchi, viongozi wa dini, wanasiasa, viongozi wa serikali za mitaa, Chama Cha Mapinduzi na wadau mbalimbali.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.