• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maafisa Maendeleo kutambua uwepo wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali

Imewekwa tarehe: November 8th, 2022

MAAFISA Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri zote nchini wametakiwa kutambua uwepo wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali katika maeneo yao pamoja na kufuatilia utekelezaji wa mashirika hayo ili malengo yaliyosababisha kuanzishwa kwa mashirika hayo yatimie na kuleta maendeleo nchini.

Rai hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ramadhan Kailima katika kikao Kazi cha Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika Novemba 8,2022 Jijini Dodoma.

"Tuna mashirika ambayo yanafanya utekelezaji wake katika maeneo yetu tuhakikishe tunafatilia utekelezaji wake, lakini pia tutumie vikao vilivyopo kuyatambulisha mashirika haya hasa katika vikao vya Madiwani wa Kata zetu ili wao sasa wapeleke taarifa za utekelezaji huo kwa Wananchi", amesema Kailima

Sambamba na hilo Kailima amewataka Maafisa hao kushirikiakiana na Maafisa lishe katika utekelezaji wa afua za lishe zilizopo katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kutokomeza udumavu wa watoto na kuimarisha lishe bora nchini.

Naye Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake na Makundi Maalum (WMJJWM), Dr. Zainabu Chaula amepongeza ushirikiano uliopo baina ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI na Wizara ya WMJJWM, amezitaka Wizara hizo kuendelea kushirikiana kwa pamoja katika kutoa mafunzo ya kimkakati kwa Maafisa Maendeleo Jamii nchini yenye lengo la kukumbushana mambo mbalimbali yakiutendaji.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Bi. Mwantumu Maiza amewataka maafisa hao kuhakikisha wanashirikiana na Maafisa elimu katika kutokomeza ukatili wa kijinsia pamoja na mimba za Utotoni kwa kuandaa vikao shuleni ili kuleta uelewa na kuvunja ukimya wa ukatili wa kijinsia na mimba za utotoni.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.