• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TAMISEMI kuchunguza bil. 1.2 za ujenzi wa Hospitali Malinyi

Imewekwa tarehe: August 12th, 2019

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo ameiagiza timu ya wataalamu wa ufuatiliaji wa fedha za miradi kutoka ofisi hiyo kufanya uchunguzi na ukaguzi wa kina wa Sh bilioni 1.2/- zilizotumika kununua vifaa vya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Malinyi, mkoani  Morogoro.

Akizungumza wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ikiwamo ujenzi wa majengo ya hospitali ya wilaya, Waziri Jafo alisema timu hiyo ya wataalamu itaanza kazi yake muda wowote kuanzia leo (juzi) kubaini kama fedha hizo zimetumika kununulia vifaa vya ujenzi wa hospitali au la.

Amesema wataalam hao watafuatilia ununuzi wa vifaa vya ujenzi uliofanyika katika ujenzi wa hospitali hiyo ili kuhakikisha matumizi ya fedha zilizotolewa na Serikali yanaendana na majengo yaliyojengwa.

“Nimekuja hapa nikiwa na taarifa kuwa fedha zilizotolewa na Rais (John Magufuli) kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya, Sh bilioni 1.2 zimeliwa. Leo (juzi) nilikuja ili kuondoka na kichwa cha Mkurugenzi, na maamuzi haya nilipaswa niyafanye tangu sijaja hapa.

Alisema endapo itabainika kuna makosa yalifanyika, hatua zitachukuliwa baada ya kujiridhisha kuwa kweli taarifa ya awali inaonesha fedha hizo zimeliwa na ofisi ya Halmashauri ya Malinyi.

Awali, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Majura Kasika alisema utekelezaji wa mradi huo umechelewa kutokana na wao kukosa umakini na utekelezaji wake unafanyika kwa siri.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, Mussa Mnyeti alimweleza Waziri Jafo kuwa Sh bilioni 1.2 zimenunulia vifaa vya ujenzi wa hospitali na Sh milioni 220 zimebaki na zitatumika kwenye umaliziaji.

Chanzo: Tovuti ya HabariLeo


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.