• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TAMISEMI yaonya Halmashauri zisizozingatia ushauri wa madiwani

Imewekwa tarehe: April 15th, 2021

SERIKALI imewaagiza watendaji wa Halmashauri zote hapa nchini kuacha tabia ya kuwadharau na kupuuzia ushauri wa  madiwani wanapowashauri katika mambo  ya kiutendaji kwenye maeneo yao ya kazi kwani wao ndio wanajua mambo mengi kwa kuwa ndio wawakilishi wa wananchi.

Maagizo hayo yametolewa Wilayani Chamwino na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na watendaji wa ngazi za juu za watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.

Amesema kuna baadhi ya watendaji wanapuuzia na udharau na kutotendea kazi ushauri wa wanasiasa wanapowashauri katika mambo mbalimbali hasa yanayohusu vyanzo vya mapato katika halmashauri hizo.

“Nitoe wito kwa Halmashauri zote hapa nchini kuacha mara moja hii tabia ya kuwadharau wanasiasa, kwa kudhani madiwani wote ni darasa la saba, hapana, sasa hivi kuna madiwani wana PHD, n a hata kama darasa la saba hao wamechaguliwa na wananchi na wanajua mambo mengi sana yanayohusu wananchi” amesema Waziri Ummy.

Amewataka watendaji wa Halmashauri zote hapa nchini kufanya kazi kwa kushirikiana na kushirikishana katika kutimiza majukumu yao huku wakishirikiana wakaweke mkazo katika ukusanyaji wa mapato ya serikali na kuyaingiza katika mfumo bila kuyafuja.

Waziri Ummy pia amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino ndani ya siku tatu kuhakikisha mapato yote yaliyoainishwa na Mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za Serikali CAG kuwa yalikusanywa na hayajaingizwa benki ndani ya siku tatu mapato yote yawe yameingizwa benki.

Aidha Waziri ummy amesema hata mvumilia Mkurugenzi wa Halmashauri yoyote ambaye hata tenga asilimia 40 ya fedha anazozikusanya na kuzielekeza katika shughuli za maendeleo na kuzitaka halmashauri kuweka kipaumbele katika miradi ya afya katika maeneo yao.

Aidha amezikumbusha sekretarieti za Mikoa kuhakikisha zinatimiza majukumu yao katika kuzishauri halmashauri hasa katika ukusanyaji na matumizi ya mapato katika serikali za mitaa na kujenga utamaduni wa kuzitembelea na kufanya tathmini katika yale waliyoyapanga.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Binilith Mahenge amesema kwa kipindi kirefu halmasahuri ya Wilaya ya Chamwino imekuwa haifanyi vizuri licha ya juhudi nyingi ambazo wamezifanya katika kuhakikisha inaimarika katika kipengele cha kukusanya na katika matumizi sahihi ya mapato ya Serikali.

Amesema Wilaya ya Chamwino kijiografia ni kubwa ukilinganisha na Wilaya nyingine lakini bado imekuwa ikifanya vibaya katika ukusanyaji wa mapato ya serikali katika Wilaya hiyo.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.