• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'Tanzania Development Festival (TDF)' kuandaliwa

Imewekwa tarehe: March 15th, 2023

SERIKALI kwa kushirikiana na wadau inaandaa Tamasha Maalum la kuelimisha Jamii kuhusu fursa za maendeleo ya kiuchumi, linalojulikana kama ‘Tanzania Development Festival (TDF).

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akitambulisha Tamasha hilo katika mkutano na vyombo vya Habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam alisema Tamasha hilo litakalokuwa na Kaulimbiu isemayo "Zijue Fursa, Imarisha Uchumi, Kataa Ukatili, Kazi Iendelee (ZIFIUKUKI)" litasaidia kuwapatia wananchi huduma stahiki sambamba na kutoa elimu ya kupambana kutokomeza ukatili wa kijinsia na kwa watoto.

Dkt. Gwajima amebainisha kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau imeendelea kufanya juhudi kuhakikisha wananchi wanapata elimu na ufahamu wa fursa za maendeleo hivyo, kwa kuzingatia mwitikio wa wadau, Wizara imeona umuhimu wa kuwa na Jukwaa la pamoja la Wadau wote wa Maendeleo ili kuunganisha nguvu ya kuhamasisha mwamko wa jamii kutambua fursa za kiuchumi.

Ameongeza kuwa pamoja na kutambua fursa hizo, Jamii itahamasishana kukataa ukatili wa kijinsia na kwa watoto na kupata uelewa wa mifumo inayojielekeza kwenye kutokomeza ukatili wa kijinsia na kwa watoto kwani ukatili ni adui wa maendeleo na ustawi wa jamii.

"Ufuatiliaji unaonesha baadhi ya wananchi hasa wanawake, wajane, wazee na wengine wenye mahitaji maalumu elimu haijawafikia kikamilifu. Kupitia tamasha hili sehemu kubwa ya jamii itazidi kuelimika na kufahamu kuhusu; uwepo wa mikopo bila riba kwa makundi maalumu, huduma za mikopo ya benki mbalimbali kwa riba nafuu" alisema Gwajima.

Ameongeza pia lengo la Tamasha hili litakalozinduliwa tarehe 27 hadi 29 Aprili, 2023 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam ni kuifikia jamii kwa elimu na huduma za kijamii zinazotolewa na taasisi za Serikali na wadau wa maendeleo kutoka Sekta Binafsi.

Matangazo

  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Maboresho makubwa sekta ya Afya Dodoma

    March 23, 2023
  • Miradi ya Mapato ya ndani yaanza kutoa matunda

    March 23, 2023
  • Agizo la Rais kuhusu Machinga latimia Dodoma

    March 22, 2023
  • Upatikanaji dawa, vifaa tiba waimarika

    March 21, 2023
  • Angalia zote

Video

Bwawa la Mtera kuhudumia Dodoma
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.