• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TANZANIA YAJIFUNZA KUTOA HUDUMA BORA ZA AFYA GANGNAM – KOREA

Imewekwa tarehe: July 15th, 2025

Na Angela Msimbira, Seoul – Korea Kusini

Timu ya wataalamu kutoka Tanzania imepata fursa ya kujifunza kwa vitendo namna Wilaya ya Gangnam-gu jijini Seoul, Korea Kusini, inavyotoa huduma bora za afya kwa jamii kwa kutumia mifumo ya kisasa ya TEHAMA na mbinu jumuishi za kitabibu.

Ujumbe huo ukijumuisha wataalamu wa TEHAMA, maafisa wa afya na wakurugenzi wa sera, umetembelea Kituo cha Afya ya Jamii cha Gangnam na kujifunza kwa undani namna mfumo wa PHIS (Public Health Information System) unavyotumika kusimamia afya ya jamii kwa ufanisi mkubwa.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kituo cha Afya ya Jamii cha Gangnam, Bw. Lee Jong Cheol, mafanikio ya Gangnam katika sekta ya afya yanatokana na uwekezaji mkubwa katika mifumo ya kidigitali, ushirikiano wa karibu na wananchi, pamoja na utoaji wa huduma zinazolenga kinga kuliko tiba.

 “Gangnam sasa ni mfano wa kuigwa duniani. Mataifa mengi, yakiwemo kutoka Afrika kama Tanzania, yanakuja hapa kujifunza mbinu bora za uendeshaji wa huduma za afya,” amesema Bw. Lee.

Wilaya hiyo ina watoa huduma za afya 320 wanaohudumia wakazi 4,040, kupitia vituo vya afya vilivyosambazwa kimkakati kwenye maeneo yote muhimu ya jamii. Aidha, huduma zinazotolewa zinahusisha uchunguzi wa awali wa magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu, kifua kikuu, saratani, pamoja na chanjo, elimu ya lishe, na ufuatiliaji wa afya ya wazee na wenye magonjwa ya kudumu.

Bw. Lee amesema mfumo wa PHIS unaoweka taarifa za wagonjwa kwa usalama, hurahisisha uchunguzi wa magonjwa kwa haraka na kutoa ripoti za kiutendaji kwa uwazi, hivyo kusaidia kupanga mikakati ya haraka ya kuzuia magonjwa.

Amesema mfumo wa PHIS unafanana kwa na GoTHoMIS, mfumo wa TEHAMA wa Tanzania unaotumika kwenye vituo vya kutolea huduma za afya za umma, kwa lengo la kurahisisha utoaji wa huduma na ukusanyaji wa taarifa muhimu za kiafya.

“Tumejifunza namna Korea inavyoweka mkazo kwenye huduma za kinga, matumizi ya data, na kliniki za kutembea. Masomo haya ni muhimu kwa maendeleo ya mfumo wetu wa GoTHoMIS,” alisema Dkt. Paul Chaote, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Shekimweri: Maafisa tarafa na Watendaji wa kata zingatieni Maadili na Uwajibikaji

    July 23, 2025
  • Serikali yatoa bilioni 298 kugharamia matibabu ya Kifua kikuu, Ukimwi na Malaria nchini

    July 22, 2025
  • Ushirikiano kati ya tanzania na canada waipaisha sekta ya afya

    July 21, 2025
  • Vifaa vya kupima maji vitumike mara baada ya mafunzo

    July 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.