• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tanzania yapiga hatua utoaji wa huduma za Afya ya Msingi

Imewekwa tarehe: March 23rd, 2024

NAIBU Waziri, Ofisini ya Rais, TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange, alisema Serikali imeweza kujenga na kuimarisha miundombinu ya afya msingi, kuajiri Watumishi na kuhakikisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya ya Msingi.

Alisema hadi kufikia Februari mwaka 2024, Sekta ya afya ya msingi nchini Tanzania ina jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya 6,933 zikiwamo Zahanati 5,887 Vituo vya afya 874 na Hospitali za Halmashauri 172.

Takwimu hizi zinaonyesha kwamba kuna ongezeko kubwa la vituo katika Afya ya msingi ikilinganishwa na idadi ya vituo 5,270 katika mwaka 2015. Hii ni hatua kubwa katika kuelekea kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wananchi wote nchini Tanzania, »alisema.

Alisema kwa mwaka, 2023, wateja milioni 26.9, walipata huduma katika vituo vya afya ya Msingi kama wagonjwa wa nje yaani (OPD), wateja 854,318 walipata huduma ya kulazwa (IPD). Katika eneo la mama na Mtoto wateja milioni 1.6 walijifungulia katika vituo vya kutolea huduma ya afya ya msingi na akinamama waliokuwa na uzazi pingamizi wakafanyiwa upasuaji walikuwa ni 125,318.

Pamoja na mafanikio yaliyopatikana katika kuongeza idadi ya vituo vya afya ya msingi, alisema kuna upungufu mkubwa wa watumishi wa kada mbalimbali za afya, Ustawi wa Jamii na Lishe na vifaa tiba mbalimbali. Upungufu huu wa watumishi, unaokadiriwa kufikia asilimia 52, na hii imetokana na ongezeko la vituo vya kutolea huduma za afya katika ngazi ya afya ya msingi. Hii inaathiri moja kwa moja utoaji wa huduma za afya kwa wananchi wetu.

Alimuomba Rais kuendelea kutoa kibali cha ajira kwa watumishi wa kada za mbalimbali za afya, Ustawi wa Jamii, na Lishe huku akiomba mashirika ya Kimataifa, Wadau wa Maendeleo, na Sekta binafsi kuendelea kuwekeza katika eneo hilo muhimu ili kupata ufumbuzi wa kudumu.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.