• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'Taste Tamu' yatakiwa kuwa mfano kwa vikundi vya vijana

Imewekwa tarehe: October 18th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KIKUNDI cha vijana cha Taste tamu kimetakiwa kuwa mfano wa kuigwa kwa vikundi vingine katika kusimamia malengo ya kuanzishwa kwake na kuzalisha ajira katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Jamal Ngalya alipoongoza Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutembelea na kukagua shughuli za kikundi cha vijana cha Taste tamu kilichopo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Ngalya alisema kuwa amefurahia kukikuta kikundi kikiwa kinatekeleza majukumu yake. “Mimi natamani kuona vijana hawa wanakuwa ‘role model’ kwa vikundi vingine vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Tumeambiwa hapa mwenyekiti wa kikundi amesafiri kufuata mashine Dar es Salaam maana yake vijana hawa wanamaono makubwa katika kusimamia malengo yao” alisema Ngalya.

Naibu Meya alisema kuwa anafurahia kuona jinsi vijana hao walivyojiajiri na kuzalisha ajira nyingine kwa vijana wenzao. “Tumeona kikundi hiki kina vijana watano waliojiajiri. Jambo la kufurahisha vijana hawa wameajiri vijana wenzao watatu, maana yake wakikuza mtaji wataajiri vijana wengi zaidi na kutoa mchango wao kwa uchumi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na taifa kwa ujumla” alisema Ngalya.

Akiwasilisha taarifa ya maendeleo ya kikundi cha Taste tamu, Katibu wa kikundi hicho, Wenseslaus Laurent alisema kuwa kiundi chake kimepata mafanikio baada ya kukopeshwa shilingi 20,000,000 fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Aliyataja mafanikio hayo kuwa ni kuagiza mashine za kuchakata matunda. “Mafanikio mengine tuliyoyapata ni kununua jokofu la kupoza juice na kuongeza pikipiki kwa ajili ya kusambaza bidhaa tunazotengeneza. Tumefanikiwa kuongeza wafanyakazi watatu kwa ajili ya kutafuta masoko. Vilevile, tumefanikiwa kununua mashine ya kuoka mikate” alisema Laurent.

Awali Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata ya Viwandani, Farida Mayega alisema kuwa kikundi hicho kiliomba mkopo wa shilingi 40,000,000. “Mkopo waliopata ni shilingi 20,000,000 kwa kuwa ni mara yao ya kwanza. Ilikuwa ni lazima kupima uaminifu na uadilifu wao kwanza” alisema Mayega.
Kikundi cha vijana cha Taste tamu kinajihusisha na shughuli za ujasiliamali kilianzishwa mwana 2021 na kilikopeshwa shilingi 20,000,000 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji mwezi Juni, 2022 kwa lengo la kukuza mtaji wake.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.