• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Teknolojia ya Kisasa ya ECOROADS yaleta matumaini

Imewekwa tarehe: July 20th, 2024

Na. Catherine Sungura,CHAMWINO

Teknolojia ya kisasa ya ujenzi wa barabara kwa kuboresha udongo kabla ya kuweka lami juu ijulikanayo kama ‘Ecoroads’ imeonesha matumaini katika miezi sita ya majaribio.

Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila mara baada ya kutembelea Barabara zilizojengwa na teknolojia hiyo yenye urefu wa Km. 6.95 wilayani Chamwino.

Mhandisi Mativila amesema kwamba lengo kubwa la kutembelea barabara hizo ni kujionea mafanikio ya matumizi ya teknolojia hiyo ambayo pia inajaribiwa katika wilaya mbalimbali nchini na inatekelezwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA).

“Lengo la kuja kutembelea barabara hii hapa Chamwino ni kuangalia mafanikio ya matumizi ya teknolojia hii ya kisasa ya kuboresha udongo kabla hatujaweka lami juu inayotekelezwa na TARURA”.

Amesema teknolojia hiyo pia inafanyiwa majaribio huko Mufindi, Rufiji na maeneo mengine ili kuweza kuitumia sehemu nyingine ambapo inaweza kupunguza gharama na muda wa ujenzi wa barabara.

“Barabara hii iliyojengwa inaonekana ni imara na pia sehemu nyingine ya Km. 1.3 haijawekwa lami ila udongo uliokuwa pale umechanganywa na kemikali ambayo tunaendelea kufanyia majaribio tuweze kuona mafanikio yake”.Aliongeza

“Tunafanya hivyo ili kuona kabla haujafunika na tabaka la juu inayozuia maji na vitu vingine je! inaweza kudumu kwa muda mrefu na tayari imeshakaa kwa muda wa miezi sita na tumekuta bado ipo imara kwahiyo inatuonesha hii kemikali inayotumika inahimili na malighafi ni nzuri lakini bado tunaendelea kuiangalia ili tukiona imefanikiwa itatumika kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa barabara zinazosimamiwa na TARURA”.

Wakati huo huo , Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff amesema teknolojia hiyo wilayani Chamwino ni sehemu ya majaribio na tayari wameshafanya katika maeneo mbalimbali ikiwemo barabara ya Ilazo-Dodoma (Km. 1) Sawaka-Mkonge-Iyegeya-Lulanda-Mufindi (KM. 10.4) na Utete-Kingupila-Rufiji (Km. 32).

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.