• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TFF kujenga vituo vya kukuzia vipaji, mpira wa miguu

Imewekwa tarehe: October 3rd, 2020

KATIKA kuendeleza soka la Tanzania na kufikia hadhi ya kimataifa, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania( TFF) limesaini mkataba na kampuni ya Group Six International Ltd ili kujenga vituo bora vya mpira hapa nchini.

Zoezi hilo la kusaini makubaliano hayo ya ujenzi wa vituo hivyo lilifanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Septemba, 2020 katika ofisi za TFF likitanguliwa na zoezi kama hilo lililofanyika Jijini Tanga tarehe 29 Septemba, 2020.

Makubaliano hayo yamelenga mradi huo utakaotekelezwa  katika  Jiji la Dar es Salaam  katika maeneo ya Kigamboni, Kigamboni Technical Center, pamoja na Mkoani Tanga, Tanga Technical Center.

Mradi huo utajengwa kwa kutumia fedha za FIFA na unatarajiwa kukamilika  ndani ya miezi  12,  mara baada  ya kuanza kwa ujenzi huo.

Aidha Rais wa TFF  Wallace Karia  alisema kuwa  miradi hiyo inakwenda kwa awamu na matarajio yake ni kuhakikisha kila mkoa unakuwa na vituo hivyo vya mpira.

"Mradi unakwenda kwa awamu, na katika mipango yetu tutahakikisha  kila Mkoa unakuwa na kitu kama hicho, tutatumia  fedha za wadau wetu mbalimbali pamoja na wale watakaojitokeza pia." Amesema Wallace Karia.

Mwonekano wa Kituo cha Michezo cha Kigamboni kitakapokamilika.

Mwonekano wa Kituo cha Michezo cha Tanga kitakapokamilika.

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia akimuonyesha mwakilishi wa kampuni ya Group Six International Ltd eneo la mradi wa ujenzi wa Kituo cha Michezo Kigamboni.


Rais wa TFF Wallace Karia (wa pili kulia) na Mkandarasi Yi Xiaobo (wa tatu kulia) wa kampuni ya Group Six International wakionesha mikataba ya ujenzi wa vituo vya mpira wa miguu vya Dar es Salaam na Tanga uliosainiwa Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa TFF, Athumani Nyamlani. 


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.