• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TFS yatenga Milioni 100 kukijanisha Dodoma

Imewekwa tarehe: July 14th, 2020

Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Kati yatenga kiasi cha shilingi milioni moja kwa ajili ya kuhudumia miti iliyopandwa Jijini Dodoma katika kampeni ya kukijanisha Dodoma iliyozinduliwa mwaka 2017.

Akizungumza ofisini kwake Meneja wa TFS Kanda ya kati Mathew Kiyondo amesema kuwa wametenga fedha hizo ili kuhakikisha miti iliyopandwa inahudumiwa na kukua vizuri hususani katika umwagiliaji na palizi kwani miti hiyo ikikua italeta mandhari na hali nzuri ya hewa Jijini hapa ikiwa ni pamoja na kuondokana na ukame.

Kiyando amesema kuwa lengo kuu la kampeni hiyo ni kupendezesha madhari ya Jiji la Dodoma kwa kupanda miti mipya na kuitunza iliyokuwepo kwani Halmashauri ya Jiji inamiliki ardhi na wao kama TFS wanamiliki wataalamu pamoja na miti hivyo ushirikiano baina yao unaweza kuzaa matunda na kuifanya Dodoma kuwa ya kijani.

Akizungumzia changamoto zinazoikabili kampeni hiyo kuwa ni pamoja na maji hasa katika kipindi ambacho mvua hazinyeshi, majanga ya moto ambapo watu wamekua wakichoma moto maeneo jirani hivyo kufanya moto kuhamia katika maeneo yaliyopandwa miti, na mifugo kuvamia maeneo yaliyopandwa miti, changamoto ambazo wameanza kuzitatua na wamefanikiwa kuokoa asilimia 70 ya miti iliyokua kwenye hatari ya kufa.

“Tumetenga kiasi cha shilingi milioni mia moja kwaajili ya kuhakikisha miti iliyopandwa inakua vizuri, lakini pia tumepanga kuweka matanki 18 ya maji ya lita elfu kumi ambayo yatawekwa katika taasisi kama vile shule na kadharika,  na tunawashukuru Halmashauri ya Jiji la Dodoma wanatupatia boza la maji ambalo limekua likirahisisha zoezi la umwagiliaji”,  Alimalizia Kiyando.

Athali za uharibifu wa moto kwenye mazingira eneo la Medeli.

Meneja wa TFS Kanda ya kati Mathew Kiyondo alipokuwa akizungumza na mwandisi wetu (hayupo pichani) juu ya changamoto na mikakati ya kuhakikisha utekelezaji wa Kukijanisha Dodoma. 

Miti iliyostawishwa na kupandwa katika Shule ya Wasichana ya Msalato. Tukiitunza miti yetu itatupa faida nyingi katika jamii yetu na mazingira. 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.