• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Timu ya Pete ya Combine yatubu kwa Timu ya Elimu Msingi

Imewekwa tarehe: January 27th, 2025

Na. Coletha Charles, DODOMA

Timu ya Mpira wa Pete ya Elimu Msingi imeibuka na ushindi wa kishindo kwa kuifunga Timu ya Combine (Elimu Sekondari na Watendaji wa kata) kwa mabao 9-5 ambapo mchezo huo ulifanyika kwenye uwanja wa Jamhuri, ukiwa na ushindani mkubwa huku kila upande ukionesha mchezo wa hali ya juu.

Mchezo ulianza kwa kasi huku Timu ya Elimu Msingi ikiongoza katika robo ya kwanza kwa mabao 4-1 wakitumia uzoefu wa wachezaji wao wakongwe. Hata hivyo, Combine walionesha nidhamu ya hali ya juu na kutumia mbinu bora za kiufundi, katika robo ya pili timu zote ziliongeza kasi ili kupata alama muhimu za ushindi huo wa kihistoria.

Kocha wa timu ya Elimu Msingi, Emma Ernest, alisema kuwa, walishinda kwa sababu nyumba bila msingi hauwezi kujenga. Hivyo, waliweka msingi imara ndio maana waliweza kushinda kwa kishindo kwa kufanya mazoezi. “Tulijiandaa vya kutosha kwa mchezo huu. Wachezaji wangu wameonyesha nidhamu, umoja, na uwezo wa kupambana hadi dakika ya mwisho. Ushindi huu ni wa juhudi za pamoja. Tulijua kuwa mchezo utakuwa mgumu, lakini tuliweka mikakati ya kimpira na kisaikolojia ambayo iliwasaidia wachezaji wetu kuwa imara. Ushindi huu ni muhimu kwetu na tunajivunia mafanikio haya” alisema Ernest.

Kwa upande wake, Kocha wa Combine, Theopister Andrea, alikiri kuwa timu pinzani ilikuwa bora zaidi katika mchezo na timu yake ilikosa umakini katika upande wa wafungaji, lakini aliahidi atafanya marekebisho. “Tulijaribu kadri ya uwezo wetu, lakini Timu ya Elimu Msingi walikuwa na mpango mzuri wa mchezo. Tumepoteza nafasi muhimu ambazo zilitugharimu, lakini tutajitahidi kufanya mazoezi ya ziada ili tuwe bora zaidi katika michuano” alisema Andrea.

Nae, Nahodha wa Timu ya Elimu Msingi, Jane Thawe, alisema ushindi huo ulikuwa matokeo ya maandalizi mazuri na mshikamano wa timu na walijipanga kwa ajili ya mashindano haya. “Tulijitahidi sana, hasa katika robo ya mwisho. Ninamshukuru kila mchezaji kwa juhudi zake, Timu ya Combine wakati mwingine wajipange na sisi tunakikosi kipana kilichoingia leo ni kikosi ‘C’ tu na tulikuwa tunafanya mazoezi usiku na mchana kwa hiyo ushindi ni kawaida yetu” alisema Thawe.

Aidha, Nahodha wa Timu ya Combine, Evarista Mkalawa, alikubali matokeo kwa moyo wa sportsmanship na kuwapongeza wapinzani wao. “Walistahili kushinda, lakini tumejifunza mengi kutoka kwenye mchezo huu, tulizidiwa nguvu na wenzetu lakini tuko vizuri na katika mchezo ukifanya kosa moja mpinzani anatumia nafasi hiyo kukuadhibu, tumekubali tumeshindwa. Tunaahidi kurejea tukiwa imara zaidi” alisema Mkalawa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.