• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Toeni Elimu ya Mikopo bila kuchukua Rushwa - Mafuru

Imewekwa tarehe: November 12th, 2022

Na. Josephina Kayugwa, DODOMA

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ametoa  wito kwa watendaji wa kata pamoja na maafisa maendeleo jamii katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuwasaidia wananchi kwa kuwaelimisha juu ya mikopo inayotolewa na halmashauri bila kuchukua rushwa.

Wito huo ameutoa katika kikao kilichofanyika leo kwenye ukumbi mkubwa wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma  alipokutana na watendaji wa kata,watendaji wa mitaa na maafisa maendeleo ya jamii.

 “Tunatakiwa tuamke kufanya kazi  na tupambane kama viongozi, katika suala hili la mikopo kuna baadhi ya kata zimefanikiwa na nyingi bado nataka niwambie kuwa wale ambao bado mjifunze kwa wenzenu ambao wameshafikia hatua nzuri.

“Mko pale kwaajili ya kuwasaidia watu na hakuna mtu mwenye nguvu ya kuzuia vikundi kwaajili ya kupata mkopo kama kiongozi una vikundi vingi leta vyote na kikundi chenye sifa kitapitishwa ambacho hakina mnatakiwa kuwaelekeza nini cha kufanya ili na wao wapate mkopo,” alisema Mafuru.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Dodoma, Davis Mwamfupe alisema inatakiwa vigezo na masharti  ya utoaji mikopo viangaliwe upya kwa kuwa kumekuwa na vikundi vikifanya udanganyifu kwa kutoa taarifa ambazo sio sahihi ili waweze kupata mkopo.

“Kuna baadhi ya watu hawatoi taarifa sahihi wakati wa kuomba mikopo na wengine wanakuwa hawana makazi maalumu ya kukaa wala kufanyia biashara kitu ambacho kinasababissha usumbufu wakati wa kufuatilia urejeshaji wa mikopo.

“Fedha nyingi zimekuwa zikipotelea mikononi mwa watu kwasababu kunakuwa hakuna taarifa sahihi na wengi wao wamekuwa wakikimbia na kwenda kusikojulikana kwahiyo kipengele cha taarifa za muombaji inabidi kiangaliwe kwa upya ili kuondokana na usumbufu,” alisema Mwamfupe.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.