• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TRA yakusanya 1.7 Trilioni, yavunja rekodi ya miaka 23

Imewekwa tarehe: January 2nd, 2020

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ambapo kwa mwezi Septemba imevuka lengo la makusanyo na kuvunja rekodi ya miaka 23 iliyopita.

Tangu ilipoanza kufanyakazi Julai Mosi 1996, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imevunja rekodi kwa kukusanya Sh1.76 trilioni Septemba 2019.

Makusanyo haya ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.2 ya lengo la TRA kukusanya Sh1.81 trilioni iliyojiwekea mamlaka hiyo.

Yakilinganishwa na Septemba 2018, makusanyo hayo yameongezeka kwa asilimia 29.18 hivyo kuzidi ufanisi wa miezi yote ya robo ya kwanza ya mwaka huu wa fedha.

Kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Dk Edwin Mhede amesema makusanyo haya ni kiashiria wananchi wameelewa, wamekubali na kuitikia wito wa Serikali kuchangia maendeleo ya Taifa.

“Julai tulikusanya Sh1.25 trilioni sawa na asilimia 91.92 ya Sh1.36 trilioni na Agosti tukapata Sh1.33 trilioni sawa na asilimia 96 ya Sh1.4 trilioni,” alisema Dk Mhede.

Kamishna huyo amewashukuru walipakodi waliojitoa kutii sheria na Serikali kwa kuendelea kuiunga mkono mamlaka hiyo katika kutekeleza majukumu yake ya kukusanya na kuhasibu mapato ya umma.

“Pamoja na mafanikio haya, tunajua kuwa bado hatujafikia malengo yetu. Changamoto iliyopo ni kuhakikisha uendelevu wa ufanisi huu mkubwa kwa miezi ijayo,” alisema.

Mhede ni kamishna wa tano kuteuliwa na Rais John Magufuli ndani ya miaka minne iliyopita. Akiwa na miezi minne sasa tangu akabidhiwe jukumu hilo, alisema sababu zilizochangia kupanda kwa makusanyo hayo na kuvunja rekodi ya miaka 23 ya uwapo wa TRA ni kuzibwa kwa mianya ya ukwepaji kodi, matumizi ya mashine za kielektroniki (EFD) na mifumo rafiki ya ukusanyaji kodi.

Baada ya Rais John Magufuli kuingia madarakani Novemba 5,2015 ufanisi wa TRA iliyokuwa inakusanya wastani wa Sh85 bilioni kwa mwezi uliongezeka na mapato hayo kufika Sh1.3 trilioni.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.