• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tume ya Madini kuhakiki Leseni za Makaa ya Mawe zisizoendelezwa

Imewekwa tarehe: November 15th, 2022

WAZIRI wa Madini, Dkt. Doto Biteko akizungumza na kutoa muda wa miezi mitatu kwa Tume ya Madini kufanya uchambuzi wa kina kwa waliohodhi maeneo makubwa bila kuyafanyia kazi, baada ya kipindi hicho yafutwe na kupatiwa wawekezaji wenye uhitaji. Ameyasema hayo katika ziara yake aliyoifanya mkoani Ruvuma.

Kufuatia mahitaji makubwa ya Makaa ya Mawe kwa ajili ya kuzalisha nishati duniani na kutokana na madini hayo hivi sasa kuwa moja ya chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali, Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko ametoa muda wa miezi mitatu kwa Tume ya Madini kufanya uchambuzi wa kina kwa waliohodhi maeneo makubwa bila kuyafanyia kazi, baada ya kipindi hicho yafutwe na kupatiwa wawekezaji wenye uhitaji.

‘’Kuanzia leo wawe wameyaendeleza hata kwa kuingia ubia wa kuchimba na kampuni zenye uwezo, mitaji, vifaa na teknolojia kama wanaona hawana uwezo wa kuyafanyia kazi maeneo yao. Naielekeza Tume ya Madini baada ya muda huu kupita, wafute leseni hizo kwa mujibu wa Sheria ya Madini Sura 123‘’ Msipochukua hatua ninyi, mimi nitachukua hatua, lazima mkutano huu uwe wa kazi na matokeo,’’ amesisitiza Dkt. Biteko.

Kauli ya Biteko imefuatia hoja iliyowasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Laban Thomas aliyesema kuwa zipo baadhi ya kampuni na watu binafsi waliohodhi maeneo yao bila kuyaendeleza na hivyo kuiomba wizara kuangalia suala hilo.

Itakumbukwa kuwa, hivi sasa dunia ina kipindi kifupi cha kutumia makaa ya mawe kama chanzo cha nishati kabla ya kuhamia kwenye teknolojia ya kijani (green technology). Aidha, Mkutano wa 27 wa Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabia nchi unaendelea nchini Misri Tanzania ikiwa miongoni mwa washiriki wa mkutano huo.

Biteko ameyasema hayo Novemba, 15, 2022, mkoani Ruvuma katika Mkutano wa wadau wa madini ya makaa ya mawe ambao ni matokeo ya utekelezaji wa maazimio ya Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini unaofanyika kila mwaka. Katika Mkutano huo, wizara iliazimia kukutana na makundi mbalimbali ya wadau wa madini kwa lengo la kujadili changamoto zinazoyakabili makundi mbalimbali ya wadau ili kuzipatia majawabu.

Vilevile, kutokana na Tanzania kuwa na rasilimali hiyo ya kutosha na kufuatia kuwepo kwa ukomo wa matumizi ya madini hayo ulimwenguni, Biteko amesisitiza kwamba, lengo la Serikali ni kuongeza uzalishaji wa rasilimali hiyo pamoja na kukuza ajira zinazotokana na sekta ya Madini.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.