• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tume ya Utumishi wa Umma tekelezeni mpango wakashughulikia rufaa za watumishi - Waziri Mhagama

Imewekwa tarehe: February 18th, 2023

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama ameitaka Tume ya Utumishi wa Umma kutekeleza mpango mkakati wa kushughulikia rufaa za watumishi wa umma kwa wakati pamoja na kuandaa na kutekeleza mpango mkakati utakaowawezesha waajiri kupunguza ongezeko la mashauri ya kinidhamu yanayowasilishwa Tume ya Utumishi wa Umma kufanyiwa maamuzi.

Mhagama ametoa maelekezo hayo jijini Dodoma wakati wa kikao kazi chake na Menejimenti ya Tume ya Utumishi wa Umma kilicholenga kuhimiza ufanisi wa utendaji kazi wa Tume hiyo.

Mhagama amesema, rufaa zikifanyiwa kazi kwa wakati, Tume itakuwa imetenda haki kwa watumishi wenye mashauri ya kinidhamu, na kuongeza kuwa mashauri ya kinidhamu yasiposhughulikiwa kwa wakati watumishi wanapoteza haki zao na waajiri wanapoteza haki ya kumuadhibu mtumishi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu za kiutumishi zilizopo.

“Ushughulikiaji wa rufaa ukifanyika kwa wakati, mtumishi atakuwa ametendewa haki ya kutoadhibiwa anapobainika kutotenda kosa na haki ya kuadhibiwa baada ya kuthibitika kutenda kosa,” Mhagama amesisitiza.

Mhagama ameongeza kuwa, mashauri ya kinidhamu yakichukua muda mrefu, Serikali inaingia gharama kuyaendesha na watumishi wanaokabiliwa na mashauri ya kinidhamu wanakosa tija kiutendaji kwasababu muda mwingi wanautumia kufuatilia mashauri yao badala ya kufanya kazi.

Tume ya Utumishi wa Umma ikitekeleza majukumu yake ipasavyo italisaidia taifa kutenda haki kwa mtumishi wa umma na kuepuka kuingia gharama kubwa ya uendeshaji wa mashauri ya kinidhamu ili kuokoa fedha za umma.

Aidha, Mhagama Tume ya Utumishi wa Umma kwa uamuzi wa kutengeneza mfumo wa ushughulikiaji wa rufaa na malalamiko ambao utakuwa na uwezo wa kuzifikia kwa wakati mamlaka zote za ajira katika utumishi wa umma na kuongeza kuwa, kuwepo kwa mfumo huo ilikuwa ni ndoto yake ya muda mrefu na ndio maana amekuwa mstari wa mbele kushirikiana na Tume hiyo kuwezesha mfumo ukamilike kwa wakati

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.