• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji Dodoma lafunga mwaka na mikopo ya Bilioni 1.5

Imewekwa tarehe: June 26th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri ametoa pongezi kwa viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kutoa shilingi Bilioni 1.5 kwa vikundi 111, ikiwa ni maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha mapato yanayopatikana kutoka kwa walipa kodi, sehemu ya mapato hayo 10% inarudi kwa walipakodi  kupitia mikopo isiyo na riba.

Pongezi hizo amezitoa katika tukio la utoaji hundi ya mkopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, lililofanyika katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

“Nawapongeza viongozi wa Jiji la Dodoma kwa kuridhia kwenye vikao vyao na kutenga fedha kwa ajili ya makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na kuzitoa fedha hizo kwa asilimia 100 mmefanya jambo jema sana. Ni wajibu wetu kama viongozi kuhakikisha wananchi wanashiriki katika ujenzi wa uchumi wa nchi.” alisema Shekimweri.

Aidha, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alisema katika kuunga mkono ukuzaji na uendelezaji wa uchumi kwa wananchi wa Dodoma, jiji limetenga maeneo kwa ajili ya kuwakopesha wanavikundi ili kutatua changamoto za maeneo ya kufanyia miradi kwa wanavikundi.

“Maeneo yakufanyia kazi imekua changamoto wengi wanafanyia miradi majumbani, namuelekeza Afisa Maendeleo akae na vikundi atuorodheshee vikundi visivyo na maeneo ya kufanyia kazi, jiji lina ardhi yakutosha, kuna viwanja vingi tumepima haitakuwa na maana tugawe kwa watu wengine wakati wa kwetu wanashida” alisema Mafuru.

Akitoa taarifa ya utoaji mikopo ya 10% ya mwezi January hadi April 2022 Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii na Vijana, Sigilinda Mdemu amesema kuwa katika mkopo huo vikundi vya Wanawake  ni 59, Vijana 44 na Watu wenye ulemavu 8 idadi hiyo inafikisha jumla ya Vikundi 111.

Mgeni rasmi Mhe. Jabir Shekimweri (wa pili kushoto) akikata utepe kwenye tukio la kukabidha hundi ya mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Dodoma, Mhe. Meja (Mst.) Risasi akishuhudia.

Mgeni rasmi Mh. Jabir Shekimweri akimkabidhi mmoja wa vijana pikipiki (bodaboda) kama sehemu ya mikopo ya vikundi vya vijana.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.