• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tunalinda viwanda na walaji- Rais Samia

Imewekwa tarehe: August 3rd, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa dhamira ya Serikali ni kulinda viwanda na pia kuwalinda walaji, kufuatia kuzindua bwawa lenye lita za ujazo wa bilioni 25 za maji tarehe 3 Agosti 2024 katika Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, kilichopo Mvomero, mkoani Morogoro.

Mhe. Rais amepongeza uwekezaji huo mkubwa wa ndani uliogharimu zaidi ya Dola za Marekani milioni 155 na ambao umeendana na uhalisia wa mabadiliko ya tabianchi. “Mradi huu ni mahiri na makini, hivyo niwapongeze sana kwa kudhamiria kuongeza tena ujenzi wa mabwawa mengine mawili ambayo yataongeza ajira kwa vijana wetu,” amesema Mhe. Rais Dkt. Samia.

Ziara hiyo ya Mhe. Rais katika Mkoa wa Morogoro imehusisha pia uzinduzi wa awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba ya sukari na umwagiliaji ili kuwa na kilimo cha uzalishaji wa kisasa. Aidha, Mhe. Rais Dkt. Samia amelakiwa na maelfu ya wananchi katika Wilaya ya Mvomero wakati akiendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro.

“Tunalenga kufikisha sukari tunayozalisha Jamhuri ya Watu wa Kongo na nchi nyingine kwa kuzidi kuboresha miundombino ya usafiri na uzalishaji ili kupanua wigo wa masoko ndani na nje ya nchi kwa kuongeza tija,” amesema Mhe. Rais Dkt. Samia.

Kiwanda hicho cha Sukari kimefunga mitambo ya kisasa 47 inayofanya kazi kati ya 112 inayopaswa kujengwa ambayo itaongeza uchakataji wa miwa kutoka tani 100 hadi 180 kwa saa; ambapo matarajio hadi kufikisha mwaka 2027 ni kuchakata tani 230 ya miwa kwa saa. Kiwanda hicho kimeomba Serikali isaidie upatikanaji zaidi ya umeme wa uhakika na ujenzi wa barabara ya lami.

Aidha, imeelezwa kuwa kiwanda hicho katika kuboresha mnyororo wa shughuli za kilimo cha uzalishaji wa miwa matarajio yake kwa mwaka 2027 ni kutoa ajira zaidi ya elfu 10.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.