• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tunamshukuru Rais, Dkt Samia kwa kurudisha vyanzo vya kodi ya majengo na ardhi- Diwani Fundikira

Imewekwa tarehe: January 21st, 2024

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imemshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kurudisha vyanzo vya mapato vya kodi ya majengo na kodi ya ardhi kwa lengo la kuziongezea uwezo kwa kukusanya mapato na kutekeleza miradi ya maendeleo.

Shukrani hizo zilitolewa na Diwani wa Kata ya Chang’ombe, Bakari Fundikira alipokuwa akichangia rasimu ya mapendekezo ya Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 20204/2025 kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri.

“Halmashauri ya Jiji la Dodoma tunaishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuongezea vyanzo vipya vya mapato. ‘Property tax’ ni chanzo chetu tulichokuwa tunakiamini sana wakati bado tukiwa Manispaa. Chanzo hiki kilichukuliwa na serikali kuu lakini sasa Mheshimiwa Rais katurudishia. Chanzo hiki kitatuletea zaidi ya shilingi bilioni nne. Hivyo, ni hatua nzuri ya kuimarisha bajeti yetu Jiji la Dodoma. Chanzo kingine ni kodi ya Ardhi ambayo asilimia 30 ya mapato itarudi katika halmashauri. Vyanzo vyote hivyo ulivijumlisha vinakupa zaidi ya shilingi bilioni 8.8. Hivyo, ni ongezeko kubwa la bajeti” alisema Fundikira.

Aidha, alimshukuru Mstahiki Meya kwa namna anavyoendesha vikao vya Baraza la Madiwani. “Tunakushukuru na kukupongeza kwa kazi kubwa unayoifanya katika Jiji la Dodoma. Tunawashukuru wataalam wakiongozwa na Mkurugenzi wa Jiji kwa kazi kubwa waliyoifanya kutushauri sisi madiwani katika kwenda kwenye mtiririko unaofaa kwa kufuata sheria na kanuni katika kusimamia na kuendeleza shughuli za halmashauri. Niendelee kuwashukuru kutuandalia bajeti nzuri kupitia vikao vyetu mbalimbali madiwani wameshauri maeneo kadhaa na kuelekeza fedha ziende kwenye miradi ya maendeleo hasa inayowagusa wananchi moja kwa moja na kuhakikisha kero katika kata zinatatuliwa katika mwaka wa fedha 2024/2025” alisema Fundikira.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.